NEWS- WATANZANIA WANAOISHI NCHINI UK WAMEFANYA HIKI ILI KUSAIDIA WATU WENYE UALBINO

 Jumamosi ya tarehe 15/10 Watanzania wanaoishi Uingereza walifanya hafla  kuchangisha fedha kwa wajili ya watu wenye ulemavu wa ngozi albino,
hafla hiyo iliyofanyika  Stratford City hall, jijini London
 ilihudhuriwa na bwana Josephat Toner kutokea chama cha albino Tanzania,

hafla hiyo ilitayarishwa na Jumuiya ya watanzania wanao ishi nchini humo Umoja community  Pamoja na mambo mengine walipata nafasi ya  kuongelea matatizo wanayoyapata watu wenye ulemavu wa ngozi.
Mbali uchangiaji  kulikuwa na maonyesho ya mavazi kutoka kwa mwanamitindo Mtanzania anayeishi Uingereza Rose Patel
Sambamba na burudani toka msanii  anae chipukia mtanzania anae ishi nchini humo shantell


Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates