News- ngumbe & Salu T kuja na ngoma ya pamoja

Baada ya kila mmoja kufanya poa kwenye ngoma zake artist toka lebo ya mandev records  wameamua kuja na muunganiko usio rasmin baada ya kuamua kufanya ngoma ya pamoja.
Wakiongea na chiwileinc Ngumbe amesema lengo ni kuchanganya mziki wa hip hop wenye ladha tofauti

"Unajua Salu t anafanya hardcore Mimi nafanya comecial  tumeona iv vitu tukiviweka pamoja vitaleta kitu tufauti kwa mashabiki wetu"

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates