PICHA - MATUKIO YA ZANZIBAR MUSIC AWARDS 2015

8:49 AM
Mkurugenzi wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall Bwawani Mjini Zanzibar.
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates