Home » Archives for 05/31/14
MWANAMKE MWEREVU NA MWENYE MAPENZI KAMA HAYA KAMWE HAWEZI KUSALITIWA.
1.Unaamka yeye kashaamka na kusema
"baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
NATAMANI KUJA HUKO ULIKO ILA FURSA, MAJUKUMU NA WAKATI VIMEBANA, ila afya na uzima vikiwepo nitakuja tujadiliane.
KWA LEO SWALI LANGU NI KWA NINI MOYO UNAPAPARA SANA ? HAURIDHIKI
KUNA WIZI ULITOKEA BENKI
Jambazi "wote laleni chini pesa ni za serikali na maisha ni ya kwenu", wote wakalala chini
HII INAITWA DHANA YAUSHAWISHI - kubadilisha njia ya kawaida ya kufikiria
•••••••••••••••••••••• Kuna dada kwa woga akawaamelala chini kimitego,Jambazi akamwambia,
Na edo kumwembe
BADO Napata wakati mgumu. Nafungua magazeti ya Ulaya nayasoma huku
natabasamu. Halafu baadaye nafungua magazeti ya nyumbani huku nakunja
sura. Na hasa linapokuja suala la mahojiano.
Unasoma kwa makini kauli ya mtu
unayemuheshimu. Ukimaliza unakunja sura. Unatamani kupata namba