Home » Archives for 02/26/14
sawa sijui kuimba ila watu wanataka kazi sio majungu
kiukweli,
nasikitishwa sana jins baadhi ya wasanii kutwa wanavyolazimisha
kunitengenezea ugomvi wa kilazima pasipo kuwa na sababu, mara wengine
wakizusha eti Nimewatusi kwenye Media, Mara sjui Nimepost kuwakashif,
yaani ilimradi tu....kwanini Wanamuziki wa Tanzania Tunashindwa
kubadilika..
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)