Guru Ramadhani. Mkurugenzi Bomba fm Zanzibar.
Mkurugenzi
mtendaji wa Radio bora hapa zanzibar
Bomba fm Radio GURU RAMADHAN aliwaambia wafanya kazi wake katika kikao
kilichofanyika mapema mwezi huu wa pili.Pamoja na Agenda nyingine ambazo nyeti
zilizojadiliwa pia mkuregenzi huyo alidhamiria kuibua na kuendeleza vipaji vya wanamuziki wa
Zanzibar ambao kwa namna moja ama nyengine vipaji hivyo vinaonekana kupotea
bure .Mkurugenza aliwataka waendesha vipindi vya burudani kulipatia mkazo hilo
na kulitekeleza kwa umakini mkubwa.
Pia
mkurugenzi amefanya mabadiliko ya vipindi kadhaa pamoja maboresho yake,
sikiliza BOMBA FM RADIO zanzibar ili
ujue kilichobadilika mwaka 2014.
Maoni ya
Watangazaji/Angalizo kwa wanamziki wa Zanzibar.