MKURUGENZI WA BOMBA FM RADIO ZANZIBAR AMEAMUA KUTANUA WIGO WA MZIKI WA ZANZIBAR.SOMA HII

2:31 AM



Guru Ramadhani. Mkurugenzi Bomba fm Zanzibar.


Mkurugenzi mtendaji wa Radio bora hapa zanzibar  Bomba fm Radio GURU RAMADHAN aliwaambia wafanya kazi wake katika kikao kilichofanyika mapema mwezi huu wa pili.Pamoja na Agenda nyingine ambazo nyeti zilizojadiliwa pia mkuregenzi huyo alidhamiria kuibua  na kuendeleza vipaji vya wanamuziki wa Zanzibar ambao kwa namna moja ama nyengine vipaji hivyo vinaonekana kupotea bure .Mkurugenza aliwataka waendesha vipindi vya burudani kulipatia mkazo hilo na kulitekeleza kwa umakini mkubwa.
Pia mkurugenzi amefanya mabadiliko ya vipindi kadhaa pamoja maboresho yake, sikiliza BOMBA FM RADIO zanzibar  ili ujue kilichobadilika mwaka 2014.
Maoni ya Watangazaji/Angalizo kwa wanamziki wa Zanzibar.
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates