DUUUUUU hii Ilikuwa SHOW YANGU YA KWANZA KUPERFOM nyimbo yangu,TULIKUWA TUNAUNDA KUNDI MOJA MIMI NA IBRAHIMU KIHITULA au JOKA....
What was SO interesting nilipopanda nikasahau mistari...tulipanga mimi nianze kisha afuate ibarahimu nilipopewa mic nikawa nasema oyo oyo oyo oyo kadiri muda unavyoenda ndio nikawa napanic na kusahau mistari,,ibra akachukua kipaza na kuanza kuchana kisha nikamalizia mimi..
What was SO interesting nilipopanda nikasahau mistari...tulipanga mimi nianze kisha afuate ibarahimu nilipopewa mic nikawa nasema oyo oyo oyo oyo kadiri muda unavyoenda ndio nikawa napanic na kusahau mistari,,ibra akachukua kipaza na kuanza kuchana kisha nikamalizia mimi..