Kama kawaida yangu
nikautuma ujumbe huo kwa mara nyingine kwenda namba za simu mbalimbali mara
nikawa napigiwa simu na zile namba ambazo nilizozitumia ujumbe hule wengi
walitaka kujua mimi ninani, wakiniuliza jina langu namimi nawajibu nikisema “MY
NAME IS JEFF”.
Home » Archives for 01/07/14
Mchezo wa Mapinduzi Cup Azam na Ashanti Uwnja wa Amaan.
Mchezaji wa timu ya Ashanti akiwa na mpira akimpita beki wa timu ya
Azam katika mchezo wa mwisho wa michuano ya Mapinduzi Cup kituo cha
Unguja, timu hizo zimetoka sare ya bila kufunguna.
Mshambuliaji wa timu ya Azam Kipre Tchetche akimpita beki wa timu ya Ashanti katika mchezo wa Mapinduzi Cup.
Serikali yakabidhi usimamizi na uangalizi wa mashamba yake kwa Wizara ya Kilimo na Maliasili
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Makazi,
Maji na Nishati Nd. Ali Khalil Mirza Kushoto na Mwenzake wa Wizara ya
Kilimo na Maliasili Nd. Afan Othman Maalim wakikabidhiana ahati za
usimamizi wa Mashamba ya Serikali ambayo yalikuwa chini ya usimamizi wa
Wizara ya Ardhi.
Baby Madaha na Kampuni yake walamba dili ya hela nyingi sana na kubwa zaidi Afrika Mashariki
Ile record label maarufu ya muziki afrika mashariki -
candy n candy imechapa fimbo nyingine baada ya kufanya deal ya mtonyo
mrefuu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu afrika mashariki na kati,
(Jina kapuni ) kwa ajili ya kusambaza filamu ya “The gal bladder” ambayo imechezwa na mwigizaji baby madaha akishirikiana na waigizaji wengine toka kenya.
(AUDIO) WIMBO MPYA WA NAY WA MITEGO YAZUA BALAA, NAY NA MPENZI WAKE WAFARAKANA..! CHEKI HAPA
2:33 AM
•
Mpenzi wa Nay wa Mitego hajapenda kile alichokiona kwenye video ya Nakula Ujana.
Kwa mujibu wa Nay, video hiyo imesababisha ugomvi ndani ya uhusiano wao kutokana na Nay kuonekana kwenye video hiyo akishikwa kifuani na sehemu zingine za mwilini na wasichana warembo wa Kenya.
Msikilize hapa akiongea na chiwileinc
TAZAMA VIDEO YA MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA HAPA
President Jakaya Kikwete leads hundreds of mourners at the burial
ceremony of the late Dr William Mgimwa, Tanzania's Finance Minister who
died on New Year's day 2014. The Ceremony was held at the deceased's
Magunga village home in Iringa January 6, 2014
WACHINA NOOOOOMA: CHEKI NJEMA ILIVYOTOLEWA NDUKI NA FIMBO NA WAJOMBA ZAKE JACK CHANG...! SOMA KISA HAPA UCHEKE MWENYEWE
"Serikali
ya China inajenga uwanja wa michezo jijini Lilongwe. Hio picha
inaonesha msimamizi wa kichina akimfukuza kibarua baada ya kumcharaza
viboko akiwa amekamatwa ameiba cables! Chezea wachina wewe. Kama
uheshimu mali isiyokuwa yako unachapwa tu! Acheni kuleta siasa. Ukikamatwa unachapwa tu!" - Pat Tsere
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)