IJUE ORODHA YA WASANII 20 TANZANIA WENYE UKARIBU MKUBWA SANA NA MEDIA KWA KUTHAMINI NA KUJALI INTERVIEWS

8:10 AM
MWAKA  2013, Tunaumaliza  katika kiwanda hiki cha burudani  yapo mengi ambayo nisipoyasema nitakuwa kama naendelea kuweka sumu katika moyo wangu na pia kushindwa kuwasaidia wale ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa wakiamni kuwa mafanikio ni dharau nakushindwa kutoa ushirikiano wa dhati pale unapohitajika  kutokana na kazi wanazofanya .

kwa moyo wa dhati kabisa  nina kila sababu ya kuwashukuru  na kuwaelezea  WASANII WAFUATAO AMBAO WAMEKUWA NI MFANO WA KUIGWA TANZANIA  KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE  NA MUNGU AZIDI KUWABARIKI KATIKA KILA WANACHOKIFANYA .

NI KATI YA WASANII AMBAO NAWEZA KUWAWEKA KATIKA KUNDI LA WACHACHE WENYE KUJUA UMUHIMU WA MASHABIKI, UMUHIMU WA WADAU  NA PIA UMUHIMU WA RADIO  ZA MIKOANI.
          
        
                                    1:DARASA:

Picha za ukarabati wa studio FIRE MUSIC ulipoanzia hadi unapoelekea.

7:19 AM


 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates