MWAKA
2013, Tunaumaliza katika kiwanda
hiki cha burudani yapo mengi ambayo
nisipoyasema nitakuwa kama naendelea kuweka sumu katika moyo wangu na pia
kushindwa kuwasaidia wale ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa wakiamni
kuwa mafanikio ni dharau nakushindwa kutoa ushirikiano wa dhati pale
unapohitajika kutokana na kazi wanazofanya
.
kwa
moyo wa dhati kabisa nina kila sababu ya kuwashukuru na kuwaelezea
WASANII WAFUATAO AMBAO WAMEKUWA NI MFANO WA KUIGWA TANZANIA KWA NAMNA
MOJA AMA NYINGINE NA MUNGU AZIDI KUWABARIKI KATIKA KILA
WANACHOKIFANYA .
NI KATI YA WASANII AMBAO NAWEZA
KUWAWEKA KATIKA KUNDI LA WACHACHE WENYE KUJUA UMUHIMU WA MASHABIKI, UMUHIMU WA
WADAU NA PIA UMUHIMU WA RADIO ZA MIKOANI.
1:DARASA: