Mwigizaji Shilole leo ameonesha picha ya nyumba yake mpya anayoijenga maeneo ya kimara kutokana na mafanikio ya muziki.
Katika picha hiyo Shilole aliandika “Mungu nisaidie nimalize hii kitu ili watoto wangu wasije kupata tabu"
Hongera Shilole
www.chiwileinc.blogspot.com
Home » Archives for 12/09/13
General Manager Judah Mapunda akimkabidhi nakala ya mkataba Ney B |
Zanzibar Media Corp.Ltd na Zenji Media Ltd,Dk.Muhammed Seif Khatib akiwa kwenye pictures ya pamoja na wafanyakazi wapya waliojiunga na Zenji FM & Zenji TV. |
Zanzibar Media Corp.Ltd na Zenji Media Ltd,Dk.Muhammed Seif Khatib akisalimiana na mfanyakazi mpya wa Zenji FM na Zenji TV....Saada Mamboleo kutoka Spice FM |
General Manager ZMCL,Judah Mapunda akimkabidhi nakala ya mkataba Mtangazaji mpya ZAINAB JAFFARY toka C2C |
General Manager ZMCL,Judah Mapunda akimkabidhi nakala ya mkataba Mtangazaji mpya 2poit |
General Manager ZMCL,Judah Mapunda akimkabidhi nakala ya mkataba Mtangazaji mpya Sauda Mkalokota |
General Manager ZMCL,Judah Mapunda akimkabidhi nakala ya mkataba mtangazaji mpya Bi. LUCY NDASKOI |