Reasonable Doubt inabaki kuwa album bora
kwa rapper Jay Z Katika album zake zote. Kwenye siku yake ya kuzaliwa
jana akifikisha miaka 44, Jay ameweka orodha hii
kwenye mtandao wake wa lifeandtimes.com
kuwa Reasonable Doubt ndio cd bora na ya mwisho kabisa ni Kingdom Come.Orodha Na Picha Iko Hapa