Msanii
nyota kwenye kiwanda cha Bongo muvi Wastara amepewa tahadhari kubwa na
mshabiki wake kuhusu mpenzi wake mpya ambae ni prodyuza wa filamu
aliyefahamika kwa jina la Bond Bin Sinnon kuwa amekuwa akipenda sana
mapenzi kinyume na maumbile hakuna mfano.
Home » Archives for 11/27/13
WASTARA ATAHADHARISHWA KUHUSU MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE , YADAIWA MPENZI WAKE MPYA AMEKUBUHU KWA TABIA HIYO HADI WANAWAKE WANAMKIMBIA, YASEMEKANA ALIFUNDISHWA NA ANT LULU WALIPOKUWA WAPENZI
Mkali huyu kala shavu kurekodi nyimbo ya Coca-Cola’s 2014 FIFA World Cup
MWANAMUZIKI DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUTANGAZA AJIRA SASA AMTANGAZA DEMU ANAYEMPENDA, CHEKI HAPA
UKIFIKA katika mtaa anaoishi mwanamuziki Diamond maeneo ya Sinza Mori jijini Dar es Salaam utaanza kuhisi kuwa kuna staa anayeishi maeneo hayo, macho ya wengi huanza kumtazama mtu anayeelekea katika geti la nyumba anayoishi msanii huyo. (HM)
Muda wote geti hilo limefungwa. Ili uweze kuingia ndani itakulazimu ubonyeze kengele itakayoashiria kuwa kuna mgeni nje anahitaji kuingia ndani. Hata hivyo hauwezi kupenya kirahisi ndani hadi uulizwe shida yako na kama hauna miadi na mtu yeyote anayeishi ndani ya nyumba hiyo haitakuwa rahisi kuingia.
Mwanaspoti lilitinga katika nyumba ya msanii huyo
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)