Home » Archives for 11/25/13
FURSA....! FURSA....! FURSA....! FURSA.....!
Studio ya #UPRISE_MUSIC Inaatoa nafasi kwa wasanii wa kike toka kisiwani zanzibar
ku Records nyimbo moja bure kwenye studio hiyo unachotakiwa kufanya ni kutuma nyimbo yako kamili Au Demo kwenye email Zifuatazo
ku Records nyimbo moja bure kwenye studio hiyo unachotakiwa kufanya ni kutuma nyimbo yako kamili Au Demo kwenye email Zifuatazo
HII KALI KWA DIAMOND PLATNUMZ!!! AAMUA KUJIITA 'DOMO' INSTAGRAM...CHEKI HAPA
Diamond Platnumz aka Prezident wa WCB ametoa kali na mpya kwa kuamua kujiita 'DoMo' kupitia ukurasa wake wa Instagram kama unavyo ona hapo chini. Yawezekana amefikia hatua hiyo baada ya watu wengi kumkashifu mara nyingi sababu ya mdomo wake.
Kwangu mimi sioni tatizo maana ndivyo alivyo umbwa na je alikuwa anauliza wakuandika hivyo kweli? Au ndo kutupa cha kuongela? All in all he rocks big time being one of the most successful artists in East Africa pamoja na 'DoMo'
"Micheal Jackson Aliathiriwa na Madawa, Ilinibidi Nishikilie Uume Wake Kila Usiku Ili Nimvalishe Condom"- Dr Conrad Murray Aelezea Siri Nzito
Dr. Conrad Murray & Michael Jackson |
Kwenye
mahojiano yake ya kwanza mara baada ya kuachiwa toka gerezani kwa
kuhusishwa na kifo cha nguli wa muziki wa pop duniani Michael Jackson,
Dokta Conrad Murray alielezea kwenye mahojiano aliyofanya na The Mail
kwamba, Michael hakuwa baba wa hata mtoto wake mmoja, aliathiriwa na
madawa kiasi cha kufikia hatua ya kuhitajika kuwa anavaa condom sababu
mkojo ulikuwa unatoka wenyewe kwenye uume wake.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)