Home » Archives for 11/21/13
Picha ya Kwanza ya Peter Okoye Akimzungumzia Mke Wake
Nimekolea kwa Aliyekuwa Demu wa Rafiki Yangu. Je Nifanyeje?
11:02 PM
•
Nimejikuta
nipo kwenye mapenzi na aliyekuwa demu wa rafiki yangu. Rafiki yangu na
huyu demu walikuwa kwenye mahusiano katika kipindi cha mwaka mmoja ila
wakaja achana.
Somo la Oxford: Wanawake Wenye Makalio Makubwa Wana Akili Zaidi [UCHUNGUZI]
Kwa
mujibu wa uchunguzi wa somo moja la Chuo cha Oxford University, ambao
hivi karibuni umekuwa ukizungumziwa kwenye habari, kwamba "wanawake
wenye makalio makubwa huwa wana akili."
MAKALA NA EDO KUMWEMBE
NA EDO KUMWEMBE
WAKATI mwingine hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kucheka. Hata kama
haucheki usoni. Unacheka moyoni na kujiuliza, ni namna gani Kigogo
anayehusika na wizi wa Meno wa Tembo anavyokandia uwezo wa Mrisho
Ngassa.
Ndio, unakutana na Mbunge Kigogo. Jina lake linatajwa katika
wizi wa Meno ya Tembo. Anakwambia “Hivi Edo unataka kuniambia niache
kushangilia Manchester nije kutazama Taifa Stars. Hatujui mpira sisi
Watanzania”. Moyoni namjibu, kweli hatujui mpira, lakini kulinda
Rasilimali zetu kama Meno ya Tembo unayoiba ndio tumeweza?
Peter Msechu Amediss Kazi Ya Ney Wa Mitego,Soma Alichoandika Hapa Na Jibu La Ney. wa mitego
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)