SIKU chache baada ya kutoka lupango kwa msala wa madawa ya kulevya,
‘video queen grade one’ Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametupia picha
za utupu mtandaoni.
Agnes Gerald ‘Masogange’ katika pozi.
Masogange na mwenzake, Melisa Edward walikamatwa nchini Afrika Kusini
Julai 5, mwaka