Chin Bees ft. Aika&Nahreel - Let me know (Official Music Video)

SERIKALI YA JAMHURI YAOMBWA KUISADIA ZANZIBAR KATIKA WAZO LAKE LA UNUNUZI WA MELI KUBWA YA MIZIGO NA ABIRIA.

6:00 AM


Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi
Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeshauriwa kuungana na Serikali ya Zanzibar katika nia yake ya kununua meli kubwa kwa ajili ya mizigo na abiria ili kutoa huduma bora ya usafiri kati ya Dar es Salaam, Zanzibar na Pemba na kuepusha ajali za mara kwa mara.
 Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa Mipango na Sera wa Chama cha Wakulima Tanzania 
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates