Home » Archives for 11/03/13
SERIKALI YA JAMHURI YAOMBWA KUISADIA ZANZIBAR KATIKA WAZO LAKE LA UNUNUZI WA MELI KUBWA YA MIZIGO NA ABIRIA.
6:00 AM
•
Na
Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi
Serikali
ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeshauriwa kuungana na Serikali ya
Zanzibar katika nia yake ya kununua meli kubwa kwa ajili ya mizigo na abiria
ili kutoa huduma bora ya usafiri kati ya Dar es Salaam, Zanzibar na Pemba na
kuepusha ajali za mara kwa mara.
Ushauri
huo umetolewa na Mkurugenzi wa Mipango na Sera wa Chama cha Wakulima Tanzania
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)