Hii
Poetry Addiction au Uaraibu wa Mashairi ni event inayoandaliwa na
rapper Fid Q na timu yake ambapo hii ya jana November 1 ilikua ya tatu
kufanyika na ikashirikisha vipaji vya kike peke yake.
Kwenye Exclusive interview na millardayo.com rapper Fid Q amesema muziki ulichomfanyia kiuchumi mwaka huu ni pamoja na kumsaidia kufanya project zake mwenyewe bila kusubiri au kutegemea wadhamini.
Anasema ‘tangu zamani nilikua na idea ya kufanya vitu vingi sana lakini unapeleka wazo kwa mdhamini
Kwenye Exclusive interview na millardayo.com rapper Fid Q amesema muziki ulichomfanyia kiuchumi mwaka huu ni pamoja na kumsaidia kufanya project zake mwenyewe bila kusubiri au kutegemea wadhamini.
Anasema ‘tangu zamani nilikua na idea ya kufanya vitu vingi sana lakini unapeleka wazo kwa mdhamini
anachomoa… mwaka huu nilipata akili
mpya ya kuchanga kila sumni ninayopata na ninapotaka kufanya kitu changu
nakifanya kwa kujisachi mwenyewe mfukoni, kama hii Poetry Addiction
sina mdhamini lakini naweza kuleta wasanii kutoka nje nawalipia ndege,
hoteli na mengine kwa hela yangu… atleast mwaka huu nimeuona mtaji
naweza kufanya vitu vyangu ninavyotaka mwenyewe’