Zimekuwa ni siku nyingi za kubashiri kuhusu kilichojiri wakati wakenya walipotekwa nyara na magaidi kwa siku nne mtawalia.
Wakenya zaidi ya sitini walipoteza maisha yao katika jumba la Westgate lakini hadi sasa Wakenya hawajajua ukweli kuhusu yaliyojiri katika jumba la Westgate.
- Je ni kweli kuna
Home » Archives for 10/20/13
RIPOTI YAMAUWAJI YA WESTGET HUKO NCHINI KENYA...WALICHOKIFANYA WANAJESHI WA KENYA HAKIFAI HATA KUSIMULIA... CHEKI VIDEO CLIP HII HAPA UJIONEE MWENYEWE
Rapper D Knob Kutoka Tanzania Amefungua Mtandao Wa Biashara, Fuatilia Hapa
Old time rapper kutoka Tanzania D Knob amefungua mtandao unaojulikana
kama www.mitaanimostwanted.co.tz utakao jihusisha na Usimamizi wa
biashara tofauti na mambo ya burudani. Mtandao huu utakuwa na kazi ya
kuanda projects za biashara na mambo ya huduma tofauti mitaani. Kwa sasa
mtandao huu unafanya kazi bega kwa bega na project ya Marco Chali
Foundation kupitia Epic Open Mic.
Picha, Dar Next Handsome, Mashindano Ya Vijana Watanashati Dar Es Salaam
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)