J- moss tukutane Zanzibar Beach Resort
ukiwa umetinga black or white party ratiba iko hivi utalipia dollar 50
mbayo itakuwesha kupata wellcome drink,dinner and afte party its my time
djzoro wellcome all people
Home » Archives for 10/13/13
Rapper Cam'ron Asema Jay Z Anamchukia Na Nyimbo Zao Hazichezwi Kwenye Club Zake.Fuatilia Hapa
Rapper Cam'ron wa kundi la Dipset amesema hajawahi kufikiria mashairi ya
Jay Z kwenye wimbo wa "Pound
Cake" yata hatarisha mahusiano yake na Jay Z ila ana amini kuwa kazi
aliyopewa ya makamu wa rais kwenye kampuni ya Dame Dash ndio imefanya
Jay Z kutoelewana nae.
Kwenye “Pound
Cake” Jay z anasema “I've
done made more millionaires than the lotto did / Dame made millions,
Biggs made millions / Ye made millions, Just made millions / Lyor made
millions, Cam made millions.”
Rapper Cam’ron amefunguka haya kwenye interview wakati anazungumzia
project yake mpya ya Ghetto Heaven Vol 1 nakusema kuwa mpaka sasa muziki
wa kundi la Dipset umepigwa marufuku kwenye club zote za Jay Z na
rapper huyo anamchukia sana Cam'rom bila sababu.
Fahamu Kuwa Jay z na Cam wanatoke mitaa ya New York wote wana heshima kubwa mitaani 'Street Credibility'
Fahamu Kuwa Jay z na Cam wanatoke mitaa ya New York wote wana heshima kubwa mitaani 'Street Credibility'
Diss Nyingine Ya 50 Cent Kutoka Kwa Rapper Game.
Diss
nyingine kutoka kwa rapper Game kwa 50 Cent na this time inahusu kurudi
G Unit. Rapper Game amelianzisha tena na hasimu mwenzake 50 Cent kwa
kumtaja yeye na kundi lake la G Unit kwenye wimbo wa 'Hollywood' Ambao
upo kwenye mixtape yake mpya ya "OKE". Joint hii Imetoka October 11 na
kashirikishwa rapper Scarface.Kwenye wimbo Game anasema “Hub City thugs wit me, buck 50,” “Reunite with G-Unit, bitch fuck 50”
Master Jay Kasikiliza Mixtape Ya Nikki Mbishi.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)