Home » Archives for 09/30/13
YULE SENETA WA KENYA MWENYE VITUKO KUMBE NAYE ALIKWA MMOJA KATI YA WAOKOAJI WA WESTGARE! CHEKI PICHA ZAKE 7 AKIWA KATIKA HARAKATI ZA UOKOAJI.
WANAUMEEE!!! ZIJUE SABABU 5 ZINAZOSABABISHA UUME KUWA MDOGO (KIBAMIA)... SOMA HAPA USIJE
Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa
kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida.Wanaume walio na
tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya kuingia katika
mahusiano na wasichana ama wanawake wanao fahamiana nao
kutokana na kuogopa " siri" zao kujulikana hususani pale
uhusiano wao unapofika mwisho..Ikitokea mwanaume akiwa katika
uhusiano na mwanamke "mcharuko" ( asiye mstaarabu ) mwanamke huyo
anaweza kuanza kumvua nguo hadharani kwa kumtangazia kwa watu
kuwa na uume mdogo ." Mwanaume utakuwa wewe!" na lugha za namna
hiyo hutawala midomoni mwa wanawake hawo....
Matokeo yake sasa wanaume walio na tatizo hili huamua kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wanao fahamiana nao, na badala yake huamua kuanzisha tabia ya kuwa wanajamiiana na wanawake wanaouza miili yao ama kujihusisha na upigaji punyeto n.k.
NINI CHANZO CHA UUME KUWA MDOGO.
1. Kupiga Punyeto kwa muda mrefu..
Hali hii husababisha kusinyaa kwa uume na hatimaye uume kurudi ndani.
Wanaume wengine wana maumbile madogo kwa sababu wamerithi maumbile hayo kutoka kwa wazazi wao.
Matokeo yake sasa wanaume walio na tatizo hili huamua kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wanao fahamiana nao, na badala yake huamua kuanzisha tabia ya kuwa wanajamiiana na wanawake wanaouza miili yao ama kujihusisha na upigaji punyeto n.k.
NINI CHANZO CHA UUME KUWA MDOGO.
1. Kupiga Punyeto kwa muda mrefu..
Hali hii husababisha kusinyaa kwa uume na hatimaye uume kurudi ndani.
2. Kuugua chango la uzazi.
3. Magonjwa ya utotoni.
4. Kutahiriwa mapema
5. Kurithi kutoka kwa wazazi :Wanaume wengine wana maumbile madogo kwa sababu wamerithi maumbile hayo kutoka kwa wazazi wao.
HIVI NDIVYO NIKK MINAJI ALIVYO YAACHA MATITI WAZI NA KUTEMBEA MITAANI
Wiki hii Picha za Nicki Minaj
zikimwonesha akiwa kavaa kikoti ambacho kiliacha maziwa yake nje
zilisambaa katika mitandao mbalimbali na kufanya watu wajiulize kama
ilikuwa ni bahati mbaya kuvaa vile au alifanya makusudi kama
tulivyomzoea.
WANAUME WAMPA MAKAVU MSICHANA ALIYETANGAZA KUTAFUTA BASHA WA KUMUOA, WASEMA WANA WASIWASI NA UTIMAMU WA AKILI YAKE!
Msichana
aliyejitangaza kuwa anahitaji mume wa kumuoa hatimae amepewa makavu
live na wanaume na kusema kuwa huenda akili ya bint huyo haiko sawa kwa
kitendo alichokifanya.
Hii ndiyo taarifa aliyoitoa dada huyo
Mimi ni binti mjasiliamali ambaye nimechoka kuishi peke yangu na sasa nahitaji mwanaume wa ndoa anayejiheshimu na anayejua kupenda.Umri wangu ni miaka 25, elimu yangu ni form six.
Asilimia kubwa ya wanaume ni wasumbufu na wana wanawake wengi,kitu ambacho kwa upande wangu sikitaki maana najijua nina wivu....
Kwa yeyote mwenye sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema ambaye atanipenda kwa dhati na hatanisaliti basi anijibu kupitia email yangu.
Kwa upande wangu namhakikishia kuwa ntampenda kwa dhati, Sitamsaliti, ntamheshimu na ntawapenda ndugu na jamaa zake wote kwa moyo wangu wote.
Hii ndiyo taarifa aliyoitoa dada huyo
Mimi ni binti mjasiliamali ambaye nimechoka kuishi peke yangu na sasa nahitaji mwanaume wa ndoa anayejiheshimu na anayejua kupenda.Umri wangu ni miaka 25, elimu yangu ni form six.
Asilimia kubwa ya wanaume ni wasumbufu na wana wanawake wengi,kitu ambacho kwa upande wangu sikitaki maana najijua nina wivu....
Kwa yeyote mwenye sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema ambaye atanipenda kwa dhati na hatanisaliti basi anijibu kupitia email yangu.
Kwa upande wangu namhakikishia kuwa ntampenda kwa dhati, Sitamsaliti, ntamheshimu na ntawapenda ndugu na jamaa zake wote kwa moyo wangu wote.
MUZIKI WETU UNA MATUKIO MENGI SANA SANA!!! by Roma mkatoliki
Kama miaka 2 iliyopita hivi kulikuwa na show ya X -MASS
MWANZA!! aaaf kesho yake 26th ilikuwa MUSOMA!! ilikuwa ni mimi
na belle 9 na band fulani hii ya wakongo!!!
Sasa kiufupi tu
ile show ya 25th ya X -MASS pale GOLD CREST MWANZA ilifeli
hivi(obvious haikutangazwa so wakaifelisha
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)