Exclusive Interview ya Wema Sepetu na mtandao wa bongo5, amzungumzia diamond, maisha yake binafsi na mengine mengi

12:27 PM


Leo akisherehekea siku yake ya kuzaliwa, mwanadada wema sepetu alipata nafasi ya kufanya interview na mtandao wa burudani wa bongo five.

Katika interview hii, wema sepetu ameongelea mambo mengi sana na makubwa yakiwema mapenzi, na maisha yake bunafsi kwa ujumla. Ifuatayo na sehemu ya interview hiyo kama iliyonukuliwa toka mtandao kwenye mtandao huo

HICHI NDICHO KIAMA CHA WAUZA UNGA TANZANIA..SASA KIFUNGO CHA MAISHA NO FAINI

3:04 AM
Serikali imependekeza marekebisho ya sheria ya kudhibiti dawa za kulevya itakayotoa hukumu ya kifungo cha maisha na kufuta kipengele kwenye sheria ya sasa kinachompa mshtakiwa nafasi ya kulipa faini. Sheria iliyopo sasa ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 1995 (Sura ya 95, Ibara ya 16) inasema, endapo
mtu

Angalia hapa picha za gari iliyotengenezwa kwa technolojia ya hari ya juu hapahapa likiwa linatembea majini kwa speed kali

2:39 AM
Hilo ndilo gari lililoweka rekodi kwa kutembea majini na nchi kavu kwa speed kali zaidi linafahamika kwa jina la Amphibious Vehicle au watercar.Yafuatayo ni maelezo zaidi kuhusiana na gari hii ya ajabu. Get a Corvette engine, rig it up with a Dominator jet pump impeller drive, and then strap it into a floating car, and you get the WaterCar Python, the fastest and highest-performing amphibious vehicle in the world. If zipping over the water at a top speed of 60mph doesn't float your boat, it'll accelerate on land at a neck-snapping 0-to-60 speed of a mere 4.5 seconds. Now if WaterCar could just streamline this body a bit, because now it looks like a cross between a pickup truck and a Ford Mustang. But we're digging that rear end, which looks just like a Corvette. Oh, and there's one more thing: You'd better be really into water sports, because this quick and versatile machine will set you back a cool $200,000.

Angalia hapa Imegundulika magaidi walioiteka Westgate walitorokea shimo la handaki lililopo ndani ya jengo hilo

1:27 AM
ukio la kuvamiwa kwa nchi ya kenya na magaidi waliyoteka jengo la kibiashara ndio liligonga vichwa vya habari kwa wiki hiii lakini taarifa inadaiwa kuwa hakuna gaidi hata mmoja alieuwawa inadaiwa kuwa magaidi hao walitoroka kupitia shimo la handaki hivyo serikali ya kenya haikufanikiwa kuuua gaidi hata mmoja wote walitoroka kupitia shimo hilo na licha ya serikali kutangaza kwamba ilmeua magaidi hao Angalia picha za shimo hilo
div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates