Shetta Na Chege Wanaelekea Mombasa, Baada Ya Kusachiwa Sana Airport Shetta Ameandika Hivi Instagram

9:22 PM

KM HUJUI HAWA NDO WANAMUZIKI WALIOPGA SHULE KULKO WOTE BONGO

3:23 PM
masters ya finance ,Conventry ,UK

dgr ,UDSM

computer Engnieerng,MIST

Dploma ya computer,UDSM

BBA,MZUMBE
TUMAINI UNVERSITY,DAR CAMPUS

degr ya intrnational relation,dublin Ireland


ALL IN ALL SEHEM YA 2

1:30 PM
HII NI SIMULIZI HAIHUSIANI NA MTU YOYOTE YULE NI TUNGO TU NA KAMA IKITOKEA BASI NI MIPANGO TU YA SIR GOD.
mara simu ya Yahya iliita   "Oyo sasa me nasepa namuwahi huyu mana do ananiharakiza kama vipi nitgakutafuta mana nimesikia tangazo redio kuwa wanatafuta vipaji vipi umesikiaa" Rashid alionekana kuduwaa  "hapana sijasikiaa....."  Rashid alijibu kwa haraka "basi sawa nikirudi nitakuambia... " Yahya alijibu huku akiwa katika harakati za kuondika maeneo yale "kaka fanya kuniambia japo kidogo basi mana tayari ushaniitia hamu.."  Yahya hakutaka kumdokeza hata kidogo kwa kuwa alikua na haraka ya kufata yule mwana mke wake, baada ya Yahya kupinda katika Rashidi alirudi katika foleni ya maji huku akiwa na mawazo iliyoambatana na njaa isiyo ya kawaida iliyochanganyika na machofu mara nyingi alikua akipiga ming'ayo. "naomba jamani hii ndo moja tu mana mtoto analia nyumbani..." Sauti ya mwanamke ambae

Madee Ametumia Kiasi Gani Cha Fedha Kujenga Nyumba Yake Na Atahamia Lini, Yote Hapa

1:20 PM
Upate - Msanii wa kundi la Tiptop, Madee amesema kuwa nyumba yake ambayo amejenga mbezi kimara imemgharimu karibia milioni 125 na mpaka sasa nyumba hio haijakamilika kama vile anavyotaka yeye.

Madee anasema kuwa ameanza kujenga nyumba hiyo mbezi kimara miaka minne iliyopita na Mungu akipenda amepanga kuhamia siku ya Birthday Yake mwakani tarehe 23 April 2014.

Mwanamuziki Ahmed Mgeni afariki dunia

1:17 PM
Mwanamuziki wa taarabu wa kundi la Zanzibar Njema Ahmed Mgeni amefariki usiku wa kuamkia leo Hospital mnazi mmoja huko Zanzibar.
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kifua muda mrefu.Msiba uko Amani fresh Zanzibar ambapo ni kwa baba yake na atazikwa leo saa kumi jioni.

Marehemu aliwahi kutamba na nyimbo nyingi ikiwemo sitetereki inayofanya vizuri mpaka sasa.Mamu Africa blog inatoa pole kwa familia na mashabiki wote wa Ahmed Mgeni..mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, Inallilah waina illah rajiuni.

Simba amuua mfanyakazi Ethiopia

1:12 PM
Mfanyakazi mmoja wa hifadhi ya wanyama amefariki baada ya kushambuliwa na Simba katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, baada ya kusahau kufunga lango la chumba cha mnyama huyo.
Simba huyo anayeitwa Kenenisa, ambalo ni jina la mwanariadha mashuhuri Kenenisa Bekele, alimuuma Abera Silsay, 51, shingoni, wakuu wa hifadhi hiyo wanasema.
Shambulio hilo linasemekana kudumu kati ya dakika 15-20
Hifadhi hiyo ilifunguliwa mwaka wa 1948 kuwalinda Simba waliokuwa wamefugwa na kiongozi wa zamani wa Ethiopia, Haile Selassie.
Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza akiwa mjini Addis, anasema alipozuru hifadhi hiyo saa kadhaa baada ya tukio hilo la Jumatatu asubuhi, kiatu cha mwanaume huyo aliyeuwawa kilikuwa bado kwenye sakafu, kando ya Simba huyo mwenye umri wa miaka saba.
Hifadhi hiyo ilifungwa siku nzima kwa umma. Maafisa wanasema takriban watu 2000 hutembea hapo kila siku.
Walinzi walijaribu kumshutua Simba huyo kwa kufyatua risasi hewani lakini juhudi zao ziliambulia patupu, mwandishi wetu anasema.
Bwana Abera alishambuliwa alipokuwa akisafisha chumba cha simba huyo
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi hiyo, Dkt Musie Kiflom anasema mfanyikazi huyo alikuwa amedumu kwa mwaka mmoja tuu katika kazi hiyo na hakuwa na uzoefu mkubwa ikilinganishwa na wafanyakazi wenzake.
"Aliingia chumba nambari 10 ambapo Kenenisa hulala na alisahau kufunga lango la chumba anakolala simba huyo” Musie Kiflom aliliambia shirika la habari la AFP.
"hatimaye, simba huyo alikuja na kumvamia," alisema.
Bwana Musie aliwaambia wanahabari kuwa polisi waliitwa kujaribu kusaidia, lakini ilikuwa “ vigumu sana kumsaidia mwenzetu”.
Bwana Abera alifariki papo hapo, aliongezea.
Hifadhi hiyo ni makao ya simba 15 wa Uhabeshi, ambao wamo hatarini
Simba hao huwekwa katika nyumba zilizofungwa lakini wakuu wanasema mipango inaendelea kuwahamisha hadi nyingine ambayo ni kubwa zaidi katika miezi 13 ijayo.
Hii ni mara ya pili kwa mfanyakazi wa kutunza simba katika kituo hicho katika kipindi cha miaka 17, kwa mujibu wa shirika la habari la AFP.
Hifadhi hiyo sasa itaimarisha mafunzo kwa wafanyikazi wote baada ya tukio hilo.
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates