Amber Rose Na Tatto Nyingine Usoni.

11:58 PM
Wiki Iliyopita Amber alionyesha picha iliyoshangaza wengi baada ya kuona Tatto ya 

ALL IN ALL SEHEMU YA KWANZA 1

1:05 AM



SEHEMU YA KWANZA
   Jua kali la saa 9 lilikuwa linawaka kupita maelezo, Rashid ni kijana mwenye uchu wa maendeleo alipenda kujituma kama mtumwa akiwa na lengo la kuishi kama mfalme, wakati huu Rashid alikuwa kibaruani maeneo ya Raha leo pale linapojengwa ghorofa, hapa palikuwa na mchanganyiko wa wanaume na wanawake watoto na watu wazima palikuwa na wakandarasi kutoka India na Tanzania Bara, kila mtu alikuwa akisghulika  kufanya kazi aliyopangiwa lakini bado kulikuwa na unyanyasaji kutoka kwa wasimamizi wao.    
“Wewe mpumbavu tena mzembe kabisa masaa mawili unachanganya mchanga uwo kama umeshindwa kazi ni bora useme mjinga wewe kuna watu kibao ambao wanatafuta kazi wewe umepata unaizembea nasema kama huwezi kazi nenda kapakatane na mzee walo nyumbani..”  Rashid alitolewa maneno makali yaliochangayika na matusi ya nguoni.
Lakini bosi……. Rashid alijaribu kujitetea lakini hafla alikatishwa na bos wake “lakini kitu gani tena hakuna malipo leo mana sjaona la mana ulofanya tangu asubuhi.” Yule msimamizi aliyekuwa akisimamia kundi la akina Rashid aliondoka huku akionesha ni mwenye hasira na kumuacha Rashid akiwa ameduwaa.
……..

Baby Madaha nomaaa!! Asaini mkataba wa shillingi million 50 na meneja wa mr Nice Kenya; apewa Audi ya kutembelea.

12:52 AM


Mwanadada anayefanya vizuri sana kwenye muziki na filamu,baby Madaha amelamba bingo ya uhakika na kampuni ya Candy n’ Candy Records Label ya jijini Nairobi iliyomsainisha mkataba msanii mwingine wa Tanzania Mr.Nice hivi karibuni.
Akizungumza kwa simu na bongomovies leo meneja wa msanii huyo  Joe Kariuki amesema kuwa  pamoja na msanii huyo kupewa mkataba huo wa million hamsini (50) pia wamempa mwanadada huyo gari ya kutembelea ya kisasa aina ya AUDI TT (pichani) na nyumba  kali mitaa kijitonyama jijini  Dar es salaam.
Pamoja na hayo pedeshee huyo wa Mr.Nice ambaye ndio mmiliki wa studio hiyo amesema wanataka kumuhamishia msanii huyo jijini Nairobi nchini Kenya kwa kipindi cha mwaka mmoja ili afanye nao kazi huko kwani wamegundua kuwa anakubalika sana nchini humo na wapenzi wa muziki.
Baby madaha ambaye  anatarajia kutua nchini leo akitoka Nairobi pamoja na meneja wake kwa ajili ya kuachia video ya  wimbo wake wa kwanza aliofanya na Label hiyo uitwao (Summer Holiday) ambao umefanywa huko huko jijini Naironi

Mimi na Lucci “Hatumegani kisela” na Hata kama ni ingekuwa kweli haiwahusu; Jokate afunguka

12:49 AM

“....Okay leo nimeamua kupitia page yangu ya Instagram ku-address the following pressing matters kwenye ulimwengu wa majungu. 1. Luciano Gadie Tsere is NOT my LOVER and noooo hatumegani kisela. Na hata kama it were true inakuhusu nini. Sioni ishu. Kwenye Sanaa kuna kitu kinaitwa kuweka uhalisia. And that's what we did na KAKA DADA. I respect Lucci. Ni kaka yangu na tunafanya kazi nyingi sana zinakuja. Kuna watu wanefungua mpaka BBM group to discuss me and Lucci and this so called affair. Jamani kuliko maneno tufanyeni Kazi kuendeleza nchi yetu 2. Sijifanyi mtakatifu. Ila najitahidi kufanya matendo yanayompendeza Mungu. Na kwasababu kama binadamu sina ukamilifu basi only God can really judge me cause ndio anajua moyo wangu kuliko binadamu yoyote yule. Ila I'm a pretty good girl to be honest. Najaribu. Kwa nyinyi walimwengu don't be fooled by my PRETTY BABY FACE I know what I want, am fierce and I don't take trying to tarnish my image easily. So kindly don't mess with KIDOTI. Msione mtu mkimya mkajua ndio wa kumuonea. Still waters run deep 3. Yes there's some guy I'm checking out. Like any other female I deserve love cause I got so much love to give hey. So whoever it is tafadhali tusiharibiane kwa maneno maneno. Have a blessed evening.....!!!..
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates