Home » Archives for 09/02/13
UZINDUZI RASMI WA VIDEO YA JUX YA UZURI WAKO NA SIKUKU YA KUZALIWA KWAKE NDANI YA BILCANAS
Msanii wa muziki wa
kizazi kipya (JUX) aliye zaliwa tar: 01-09-19…. Amezindua video yake
mpya inayo fahamika kwa jina UZURI WAKO pia kulikuwa na shangwe nyingi
sana kwake sababu ilikua ni siku yake ya kuzaliwa pia jana jumaapili ya
tar: 01-09-2013.
Alikuwa na marafiki wa
aina zote na mashabiki ,Siku iyo hakuwa peke ake alikuwa na wasanii
wenzake kama DULL SYKS,KAMIKAZE,QUICK RAKA,SARMIL,MIRROR,V-MONEY( vannesa mdee)RICH MAVOKO na show nzima ilishereheshwa na mtu mzima B-DAZEN,B12-B-TWANGALA toka XXL ya clouds fm.
WANAWAKE WANAVYOSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Kesi ya wanaume kupungukiwa nguvu za
kiume zimezidi kushika kasi, kiasi cha kufanya dawa za kuongeza nguvu
hizo kuwa maarufu na zenye mahitaji makubwa katika jamii.
Waganga wa kienyeji wamekuwa wakitumia dawa hizo kama tiba ya msingi ya
kuwavutia wateja kwenye biashara zao. Hii inaonesha kuwa tatizo hili
ni kubwa miongoni mwa wanaume wengi katika jamii yetu.
KIFO CHA MBARAKA KILITUMIWA KISIASA?
Kutoka:- KIJIWE CHA KITIME
Katika miaka ya 70 mwishoni kulikuweko na mgogoro mkubwa
kati ya Tanzania na Kenya, mgogoro ambao ulifikia hata kufunga mipaka kati ya
nchi hizi mbili. Malumbano makali ya kisiasa yaliendelea katika vyombo vya
habari vya nchi hizi mbili, na ilifikia kuwa kila
upande ulilaani siasa za nchi nyingine, kati ya
malumbano ninayoyakumbuka ambayo yaliyokuwa yakiendelea katika radio ni
pale Tanzania ilipoiambia
Kenya kuwa ni nchi ya Manyang'au yenye utaratibu wa ‘Man eat man
society’, nao Kenya wakajibu Tanzania ni nchi
ya ‘Man eat nothing society’. Vibonzo vya magazeti ya Kenya vilijaa
picha za
kejeli kwa nchi ya Tanzania, na kibonzo kimoja kikionyesha kiongozi wa
China Mao Tse Tung akiwa amempakata Mwalimu Nyerere, wakati Mzee
Kenyatta akionekana
akitoka mbio kali, viliiudhi sana serikali ya Tanzania.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)