Home » Archives for 08/30/13
ONE ILIVYO HAPPEN NDANI YA SERENA HOTEL
|
Napenda kutoa Shukrani zangu za dhati kwa Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunifanikisha hadi kufikia hapa muda na wakati kama huu... Usiku wa tarehe 29.08.2013 nilikuwa na Launch video yangu inayotambulika kama My Number One,nilianda tafrija fupi kwenye hoteli ya nyota tano,Serena Hotel jijini Dar Es Salaam
,ili kuweza kujumuika na ndugu,jamaa na marafiki wa karibu kuwonesha kile kitu ambacho nimetumia muda mwingi kutengeneza,kabla ya kuiachia nikaona vyema waipitie kabla mtu wangu wa kweli ujaicheki.
Shukrani zangu nyingie ziwaende kwa wageni waalikwa
wote kufika na kutoa support na kushow love kwangu
Sina cha kuwalipa bali kusema asante na mzidi kutegemea
kazi nzuri toka kwangu...
Mtu wangu wa kweli unaweza ukache Exclusive Photo kwaajili yako
ujione kilichojiri usiku wa My Number One video Launching
Serena Hotel. |
|
WASAFI......WCB |
|
Picha Picha tu zinahusika sehemu kama hizi.....Kumbukumbu tosha. |
|
William Malecella or U can Call Him Lemutuz..... |
|
I-view Media C.E.O & Founder Raqeey wa kulia na Mpenzi wa Nancy Sumari. |
|
Nancy Sumari,Kulia akiteta jambo na mgeni mwingeni mwalikwa....Sehemu kama hizi ukutanisha watu na kubadilishana mawazo... |
|
Kutoka Kushoto A.Y,Shaa,Bench Mark Founder & EBSS Chief Judge Madam Rita & Salama Jabir ndani ya nyumba.... |
|
Kila mtu Busy na simu kuangalia kianchojiri kwenye upande wa pili wakisubiria Launching ya My Number One... |
|
Uncle Salu akukosekana nae,kuhakikisha mambo yanaenda sawa pembeni ni mama yangu Mzazi BI Sandrah.... |
|
Mama Yangu kipenzi akukosekana,Asante sana mama kwa kufika,Binafsi nafarijika kuona hata mama yangu mzazi anakubali kazi zangu... |
HIVI
UNAFAHAMU KUWA ASILIMIA 90% YA KAZI ZA MUZIKI WA TANZANIA HAZINA
KIWANGO KIZURI CHA UBORA? KWA KULITAMBUA HILO MUZIC-AFTA INAJITAMBULISHA
RASMI KUWA MKOMBOZI WA UBORA WA KAZI ZA WASANII WOTE NCHINI TANZANIA
WOTE MNAKARIBISHWA.
|
Nikikutajia Jina la Muhidini Gurumo basi utajua namzungumzia nani. Nguli wa muziki wa Dansi nchini Tanzania..... Takribani wikii imepita toka kusikika kwa habari za kweli kuhusu kustaafu muziki kwa Mzee Gurumo,binafsi sikuwahi
kukutana nae hadi leo hii nilipokutana nae kwenye uzinduzi wa Video yangu. Nilimualika mzee huyu kwa mapenzi yote,niliskia juzi pia akisema amekuwa akipendezwa na style ya muziki wangu na kucheza pia hayo ni moja wapo ya mambo pia yaliyonivutia kutaka kumuona mzee huyu. Nilipitia kwenye mitandao mingi uku ikiandikwa kusemekana kutokana na kalui ya mzee Gurumo ameweza kuwa kwenye fani zaidi ya miaka 50 lakini akuwahi bahatika hata kuwa na Baiskeli....
Jambo ili lilinigusana na kuniumiza moyoni, kuona nguli kama huyu wa muziki kunena vile na kuomba msaada, Binafsi leo usiku nimemtunuku Gari Mpya mzee Gurumo kwenye uzinduzi wa Video yangu.
|