SOMA ALICHO ANDIKA 2POINT NA COMMENT ZA FANS WAKE

1:46 PM
NAHIC HAMJA NIELEWA SASA NASEMA MIMI NDO MTANGAZAJI MKALI MWENYE MADINI HAPA NYUMBANI VISIWANI ZANZIBAR WANAFUNIKA WOTE KWENY SHOW ZA MORDEN MUSIC BONGO FLEVA MIM NDO KING ZANZIBAR NAWAFICHA WOTEEEEEE KAMA KUBISHA BISHA HAWANA JIPYA
Like · · · 2 hours ago ·

  • 11 people like this.
  • Alphonce Nyambo usijifagilie subiri watu wakufagilie bana.....fanya kazi tutajua tu kama unajua
  • Al-habib Mirres Mahmed Wape makavu mkali wao,cc wote 2nakukubali co! Hahaha mwendo mdundo...uko juu zaid ya anga
  • Young-babylon Ridhwan Ali Ndio kaka wewe super presenter hapa tow waliobakia wanaregeza midomo wakitamka migombani utadhan kama wako chooni wanajisaidia wanajikamua au wakisema mnara wa mbao au mkunazi wa kwanza njia ya kuelekea ulaya utajuta kwani umefungua radio ww number kwa mapresenter na kwa dj side
  • Eddy Captain Me bnaf yangu cbish we mkal wambie kma ww zaid yao 100
  • K.p. Madai Sinior Nimekuelewe sasa kwa modern music za bongo fleva kwa zenji watasubiri sana kwa madini uliokuwa nayo,na upande wa kike mtoto Ney B anahusika pale kati
  • Said Kabwanga Wanao bisha na wa bishe tu! Kwa ukaidi wao kwa zenj mia mia unafunika sio kama hao waregeza midomo kimbiza baba kimbiza kweli kuna vichwa vina hasira sivitaji kwa 7bu nnje ya hapa yaani TZ navikubali.
  • Cholo Monstar Mie binafsi nakukubari pwizzy we unajua ama nini!!!..
  • Kakytee Ahmed @Dogo sina maana nakuchukia ila #NABISHA haujawa wa kujiita king labda baadae saana, sioni wa kukutolea mfano kwa vile sjaona #prezenta yyte wa hapa Zanzibar atleast mwenye anagalau kiwango cha Kuitwa Queen sembuse ilo la King, unaskika wapi hata ujiite Top wa town? Nakumbuka wakati unaanza kipindi kilikua mchana saa 7hadi saa 10 ukakikmbizwa mbaya na wenzako akina Yoram Young Tozz na wenzake wa Zenji fm ukaasepa ukaomba menejiment yako ikupangie mda mwengine wa usiku kwa kua Competition imekUshinda , Hahaaa ati sasa wajiita King?????
  • Kakytee Ahmed Tutakuelewaje wakati mwenyewe hujajielewa ??? Point Mbili Pwizzy? Usijifanye kulewa sifa, akina B12, B Dozen, Twangala Twizzy a.k.a The Navigator , Sam Misago, Aloy Sazia Mapembe, @mjukuu wa Ambua, @Baba jonii , millard ayo na wengine hadi leo hawajalewa sifa na wapo town long tyme kitambo , na ukimskia akitajwa tu B12 yani mpaka watoto wanajua ni wa redio gani na mda wake unajulikana karibia TZ nzima kwa miaka si chini 10 tena kitu kipindi hakijabadilishwa muda kikawekwa usiku wala asubuhi, tujekwako vijana tu hatukujuwi na wala kipindi chako hatujui kinaanza saa ngapi kinaisha saangapi maana kila siku utaskia saa 1:15 mara mpaka saa 3 mara sku nyengine saa 2 mapka saa 4 alimradi kipindi hakina fixed timetable zaidi ya ubabaishaji tuu, wee dogo unafichwa usiku ndo wakabidhiwa kipndi cha maana kama kile? rudi ushindane nao tuone nani ataibuka Kidedea na nani atatoka #KAPPA kati yako na hao unaojidai unawaficha .

EXCLUSIVEE... DILISH AIBUKA MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA 2013

1:26 PM
Hatimaye mwakilishi kutoka Namibia Dilish ameibuka kuwa mshindi wa Big Brother Africa 2013......Hongera sana Dilish

PICTURES

1:22 PM

NIKKI MBISHI AJITANGAZA RASMI KUWA MUATHIRIKA WA UKIMWI

9:50 AM

NIKKI MBISHI AJITANGAZA RASMI KUWA MUATHIRIKA WA UKIMWI 

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates