Home » Archives for 08/11/13
Mwasiti, Shetta watoa usia
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya wanaofanya poa Hapa Tanzania, Mwasiti
Almasi pamoja na Shetta ambaye kwa sasa yupo huko Kahama kwaajili kuwapa
wananchi burudani ya Eid, Leo hii katika siku hii ya sikukuu ya Eid el
Fitri kwa waislamu sehemu mbalimbali duniani, wamekuwa na ujumbe na
wosia mzito kwa waamini wa dini hii ambao pia ni wapenzi wa burudani.
Mansu Li kutambulisha kichupa
Rapa mkali wa Sinza Star Mansu-Li, anayeendeleaa kuuwakilisha muziki wa
Hip Hop ambaye baada ya kutoa traki mpya ya kolabo kali na marapa
Jaymoe pamoja na The Don kupitia wimbo wao 'Leo Ndio Leo', hivi sasa
anadondosha project yake mpya ambayo anatarajia kuachia kichupa kipya
kwa mashabiki wake Afrika Mashariki.
HII NDO ATHARI YA KUWEKA PICHA ZA UCHI MTANDAONI
Mwezi wa kujistiri kwa wale wenzangu na mie ndiyo huo umeondoka, hapana
shaka kuna wengine wanasoma hapa, huku wakiwa ndani ya yale mambo yetu.
Siyo ishu, kila mtu ana uhuru wa kufanya kile akipendacho. Nchi yetu
inaruhusu kuvaa chochote, ilimradi tu usiende utupu.
Nakumbuka miaka kama mitatu nyuma iliwahi kutokea hoja kuhusu mavazi, wengi walisema Serikali ilikuwa na mpango wa kupiga marufuku vimini na nguo za kubana.
Nakumbuka miaka kama mitatu nyuma iliwahi kutokea hoja kuhusu mavazi, wengi walisema Serikali ilikuwa na mpango wa kupiga marufuku vimini na nguo za kubana.
CHECK PICTURES OMMY DIMPOZ ALIVYOPOKELEWA BURUNDI
Ommy Dimpoz licha ya kukwama kwa muda kidogo kwenye Airport ya Jomo
Kenyatta, hatimaye aliweza kufika nchini Burundi na kufanya show. Baada
ya kufika Burundi, njiani kuelekea kwenye show Ommy Dimpoz alifuatwa na
kundi kubwa la watu wakifuatilia gari lake huku yeye akiwapungia mkono.
Cheki hii picha kutoka kwake mwenyewe Ommy Dimpoz
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)