Home » Archives for 08/08/13
MIEZI nane baada ya kufariki dunia mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’
12:47 AM
•
Na Issa Mnally
MIEZI nane baada ya kufariki dunia mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’, ...
hatimaye mume wa pili wa staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma
aitwaye Ahmed Kushi ameibuka na kudai kwamba anatambua kwamba staa huyo
bado ni mkewe na anataka ampatie mwanaye aliyezaa naye.
Kwa muda mrefu kulikuwa na taarifa kuwa Wastara aliachana na mwanaume
huyo kwa talaka kabla ya kuolewa na Sajuki lakini kuibuka kwake na
madai kuwa bado mwanadada huyo ni mkewe kumezua mshangao mkubwa.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)