PICTURES ZA LOCATION VIDEO YANG KILLER FT STAMIN & QUICK ROCKA

12:51 AM






HUWEZI AMINI,HUU NDIO UTAJIRI WA MAJUMBA YA KIFAHARI YA MCHEZAJI MRISHO NGASA ,JIONEE MWENYEWE HAPA

12:27 AM

SASA ni miaka nane tangu aanze kucheza soka ya 

ushindani mwaka 2005 katika klabu ya Kagera 

Sugar ya Bukoba, lakini kwa namna alivyopanga 

vyema karata zake, Mrisho Khalfan Ngasasa anafurahia

 maisha ya mpira. Huwezi kumuita tajiri, lakini huwezi 

kuacha kumpa heshima miongoni mwa wachezaji wa

 kizazi chake, kwamba amewaacha mbali. Amecheza klabu

 nne katika Ligi Kuu tu, baada ya Kagera Sugar ni Yanga 

SC mwaka 2007 hadi 2010, Azam 2010 hadi 2012 na sasa 

amerejea Jangwani.



MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATANO TAREHE 7/ 8 / 2013

12:17 AM

DSC 0009 fc63c
DSC 0010 0337f
DSC 0011 c242b
DSC 0012 8f5fa
DSC 0013 dfd05
DSC 0014 768a5
DSC 0015 0729f
DSC 0016 be130

VIDEO - JULIANA KANYOMOZI - EDDIBA

12:14 AM
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates