Home » Archives for 08/07/13
HUWEZI AMINI,HUU NDIO UTAJIRI WA MAJUMBA YA KIFAHARI YA MCHEZAJI MRISHO NGASA ,JIONEE MWENYEWE HAPA
SASA ni miaka nane tangu aanze kucheza soka ya
ushindani mwaka 2005 katika klabu ya Kagera
Sugar ya Bukoba, lakini kwa namna alivyopanga
vyema karata zake, Mrisho Khalfan Ngasasa anafurahia
maisha ya mpira. Huwezi kumuita tajiri, lakini huwezi
kuacha kumpa heshima miongoni mwa wachezaji wa
kizazi chake, kwamba amewaacha mbali. Amecheza klabu
nne katika Ligi Kuu tu, baada ya Kagera Sugar ni Yanga
SC mwaka 2007 hadi 2010, Azam 2010 hadi 2012 na sasa
amerejea Jangwani.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)