Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar,
kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya
kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo
wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki
yao
B12
Fetty
Dj Mully B