Katika kupambana na wale watu ambao hutumia mitandao vibaya kutukana,
kupotosha umma kwa habari za uongo tofauti na maadili yanavyokwenda,
Msanii wa muziki Banana Zorro kwa pamoja na Mrisho Mpoto wameachia wimbo
mpya unaoitwa FUTA, DELETE, KABISA.
Home » Archives for 07/31/13
JULIANA ASHINDWA KUJIZUIA
Juliana Kanyomozi, Diva ambaye anafanya poa sana kimuziki nchini Uganda
ameonyeshwa kuguswa kwake na tukio la hivi karibuni huko Iganga Uganda,
la mamlaka ya maji kusitisha huduma ya maji katika hospitali kwa miaka
miwili sasa.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)