Home » Archives for 07/26/13
BWANA MISOSI NA MPENZI WAKE AMANDA WAACHANA.........!!
HATIMAYE wale wapenzi waliong’aa hivi karibuni, mwigizaji Tamrina
Mohamed Poshi ‘Amanda’ na Mbongo Fleva, Joseph Rushahu ‘Bwana Misosi’
wanadaiwa kumwagana rasmi
Habari kutoka chanzo ambacho ni mtu wa karibu wa wapenzi hao, zilieleza kuwa Amanda na Bwana Misosi walishamwagana kimyakimya ikiwa ni baada ya kushindwa kuelewana kitabia.
Habari kutoka chanzo ambacho ni mtu wa karibu wa wapenzi hao, zilieleza kuwa Amanda na Bwana Misosi walishamwagana kimyakimya ikiwa ni baada ya kushindwa kuelewana kitabia.
HUYU NDO MSANII ALIYETANGAZA KUMPORA MUME WA AUNT EZEKIEL..
12:46 PM
•
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii anayechipukia katika filamu za
Kibongo, Isabella Fransis ‘Vai wa Ukweli’ anamtafuta ubaya gwiji katika
tasnia hiyo, Aunt Ezekiel kwa kusema anamtamani mumewe.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)