Home » Archives for 07/22/13
DIAMOND PLATINUMZ ATABIRI KIFO CHAKE....AELEZEA YATAKAYOJIRI PINDI AKIFA...!!
2:29 PM
•
Msanii
anayefanya
vizuri sana kwa sasa Afrika mashariki Nasib Abdul aka Diamond Platnumz
amezungumza maneno mazito aliyokiri huwa yanamtoa machozi, ni mambo
yanayohusiana na ‘kifo chake’!
.
Dakika
chache zilizopita hit maker huyo wa ‘Kesho’ ame post picha Instagram yenye sura yake na maswali
Picha hiyo ilisindikizwa na caption hii
“One
of my songs,always gets me crying whenever I listen to it, how I wish u
would hear it, but then again I have no clue as to when I will release it… #WCB”
Platnumz amekaa kimya bila kutoa wimbo mpya kwa muda sasa, je unahisi kuna uwezekano ‘KAMA NIKIFA KESHO’ ukawa ndio ndio wimbo mpya anaotegemea kuachia hivi karibuni? Tusubiri tuone!
LEO KWENYE ZANZIBAR STAR PROFILE LEO TUNAMLETA, WIGO THE PRESIDENT
4:01 AM
•
Aimezaliwa tarehe 8/12/1987 hospital ya bumbuli wilaya ya lushoto
mkoa wa tanga jina lake kamili ni william godson jeremiah anafanya kazi kama soloartst pia yuko kwenye Band ya HAKUNA MATATA BAND, chini ya mkongwe jumanne malembeka
Unaweza ku chat na wigo hapa www.facebook.com/william.godson.3?fref=ts
sikiliza moja ya kazi zake hii hapa
Unaweza ku chat na wigo hapa www.facebook.com/william.godson.3?fref=ts
sikiliza moja ya kazi zake hii hapa
HII NDIO BEST SQUAD YA MWAKA 2009. VIPI WADAU MAONI YENU IRUDI TENA?
1:08 AM
•
HII NDIO BEST SQUAD YA MWAKA 2009.
VIPI WADAU MAONI YENU IRUDI TENA? MEMBERS NI: ISSA STAR, CHABI 6, HUNTER B, H-FEEY, ALPHA, MVUTO PUNCH & ANSWAAR
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)