Amezaliwa tarehe 14 mwenzi wa 2, mwaka 1994 mwembe ladu hosptal akapewa jina Nassour issa hussein hassan ni msanii wa hip hop toka kisiwani zanzibar akiwa kwenye Label ya B-UNIT RECORDS chini ya producer Suma kopa akiwa tayari amesha fanya kazi zaidi ya tatu mpaka sasa
Unaweza ku chat na tillion slim kwenye link hii www.facebook.com/tillion.s.don
Sikiliza kazi yake hapa Song- nitapata Artst- Tillion slim ft Suma kopa