video- Izzo Bizness feat Barnaba & Shaa - love me

1:16 PM

Baada ya habari kusambaa kuwa Agness Gerald na Melisa Edward wamekamatwa na madawa ya kulevya SA. Agness ajibu

1:06 PM
Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald ambae wengi wanahisi ni  Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli) ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya
 na baadae kupost pichaa hii yenye caption hiyo hapo chini



jessolomon@renatusleonard naomba nijuze kunani??

Info kamili kuhusu bondia Evander Holyfield kuletwa Tanzania

12:48 PM
.

.
Jay Msangi ambae anaonekana katikati ameshawahi kucheza ngumi akiwa anaishi Marekani.

Mtangazaji Maarufu Oprah Winfrey anatarajiwa kutua Tanzania kesho.

12:31 PM

Inaelekea President Obama kaacha upepo mzuri Tanzania manake taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita baada tu ya bondia Evander kuthibitishwa na yeye kuja Tanzania,

P Square watoa Msaada kwa producer OBJ

12:28 PM

P Square ambayo inaundwa na wasanii wakali,  Peter pamoja na Paul Okoye kutoka nchini Naijeria, Wametoa kiasi cha

MAMA MZAZI WA PROF JAY KUZIKWA JUMAPILI HII

12:23 PM

Mama Mzazi wa wasanii wakongwe wa muziki wa kizazi kipya, Professa Jay na pia Black Rhino, marehemu Bi Rosemary Majanjara anatarajiwa kuzikwa Jumapili hii katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates