Home » Archives for 07/12/13
Baada ya habari kusambaa kuwa Agness Gerald na Melisa Edward wamekamatwa na madawa ya kulevya SA. Agness ajibu
1:06 PM
•
Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa
Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi
bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha
kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald
ambae wengi wanahisi ni Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South
Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli)
ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya
kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya
na baadae kupost pichaa hii yenye caption hiyo hapo chiniMtangazaji Maarufu Oprah Winfrey anatarajiwa kutua Tanzania kesho.
12:31 PM
•
Inaelekea President Obama kaacha upepo mzuri Tanzania manake taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita baada tu ya bondia Evander kuthibitishwa na yeye kuja Tanzania,
P Square watoa Msaada kwa producer OBJ
12:28 PM
•
P Square ambayo inaundwa na wasanii wakali, Peter pamoja na Paul Okoye kutoka nchini Naijeria, Wametoa kiasi cha
MAMA MZAZI WA PROF JAY KUZIKWA JUMAPILI HII
12:23 PM
•
Mama Mzazi wa wasanii wakongwe wa muziki wa
kizazi kipya, Professa Jay na pia Black Rhino, marehemu Bi Rosemary
Majanjara anatarajiwa kuzikwa Jumapili hii katika makaburi ya Kinondoni
jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)