Home » Archives for 07/09/13
MASOGANGE NA MWENZAKE YAMEWAKUTA HUKO AFRIKA YA KUSINI
10:55 AM
•
HATIMAYE wale Wanawake wawili walionaswa na madawa ya kulevya Afrika kusini wametambuliwa kuwa ni mabinti wa KITANZANIA ..
Mabinti hao wanadaiwa kuingiza shehena ya dawa za
kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini
wakitokea Tanzania.
Akizungumza na mwandishi wetu jana, Kamanda wa
Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Geofrey Nzoa,
alisema haijafahamika wanawake hao wanatoka mikoa gani.
I WISH YOU RAMADHANI KAREEM FROM CHIWILEINC
10:53 AM
•
ENYI MLIOAMINI, MMELAZIMISHWA KUFUNGA KAMA WALIVYOLAZIMISHWA WALIOKUWA KABLA YENU ILI MPATE KUWA WACHA MUNGU"
QURAAN 2;183
Ewe
MOLA wetu hakika sisi tumezidhulumu nafsi zetu, dhulma kubwa basi
tusamehe kwani wewe ndie. Msamehevu na mwenye huruma. Kwa baraka ya
kuuona mwezi ndugu zangu waislam tusemeni AMEEN.
Pia nachukua
nafasi hii kuwatakia safari njema ya siku takribani 30 waislamu wote
duniani, pia naihasa nafsi yng na zenu kukumbuka ya kuwa huu ni mwezi wa
kujipinda haswaa ktk yale yaliyo mema. Swala 5 ni muhimu na TARWEKH
pia. Tumuombe ALLAH atupe nguvu na afya ya kutekeleza ibada zake ktk
mwezi Huu mtukufu na miezi mingine pia AMEEN
By C.E.O Issa Chiwile Jr & Director Khmyc Joumah
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)