BABY J ATAMBULISHA BLOG AMBAPO KILA KITU KUHUSU YEYE KITAPATIKANA HUMO

11:21 AM

Official baby jay blogspot kwa habari na kila kitu kinacho muhusu yeye=

www.iambabyjay.blogspot.com

MASOGANGE NA MWENZAKE YAMEWAKUTA HUKO AFRIKA YA KUSINI

10:55 AM

HATIMAYE  wale Wanawake wawili walionaswa  na  madawa ya  kulevya  Afrika  kusini wametambuliwa kuwa  ni  mabinti  wa  KITANZANIA ..


             Mabinti  hao  wanadaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.
Akizungumza na mwandishi wetu  jana, Kamanda wa Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Geofrey Nzoa, alisema haijafahamika wanawake hao wanatoka mikoa gani.

I WISH YOU RAMADHANI KAREEM FROM CHIWILEINC

10:53 AM

ENYI MLIOAMINI, MMELAZIMISHWA KUFUNGA KAMA WALIVYOLAZIMISHWA WALIOKUWA KABLA YENU ILI MPATE KUWA WACHA MUNGU"
QURAAN 2;183

 Ewe MOLA wetu hakika sisi tumezidhulumu nafsi zetu, dhulma kubwa basi tusamehe kwani wewe ndie. Msamehevu na mwenye huruma. Kwa baraka ya kuuona mwezi ndugu zangu waislam tusemeni AMEEN.

Pia nachukua nafasi hii kuwatakia safari njema ya siku takribani 30 waislamu wote duniani, pia naihasa nafsi yng na zenu kukumbuka ya kuwa huu ni mwezi wa kujipinda haswaa ktk yale yaliyo mema. Swala 5 ni muhimu na TARWEKH pia. Tumuombe ALLAH atupe nguvu na afya ya kutekeleza ibada zake ktk mwezi Huu mtukufu na miezi mingine pia AMEEN

 

By C.E.O Issa Chiwile Jr & Director Khmyc Joumah
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates