Home » Archives for 05/27/13
Picha: Uzinduzi wa BBA “The Chase.” Nando & Feza Kessy waiwakilisha TZ
5:20 AM
•
Huddah Monroe, socialite na Boss Lady akiwakilisha properly na bendera ya Kenya |
Mwakilishi wa Tanzania Fedha Kessy akiwasalimu mashabiki wake kwa kuwapungia bendera ya Tanzania. Kulia ni mtangazaji wa Shindano la Big Brother The Chase 2013 Ik. |
Mtangazaji IK akifanya mahojiano na Patna wa Mwakilishi wa Tanzania Mshiriki kutoka Ghana Elikem |
Mtangazaji IK akimtambulisha rasmi mshiriki kutoka Tanzania Fedha Kessy kwa Patna wake Mshiriki kutoka Ghana Elikem wakati wa uzinduzi |
Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Kenya Stella Mwangi a.k.a STL akitoa burudani huku akipewa sapoti na Manager wake. |
Mwakilishi wa Tanzania Nando akihojiwa na Mtangazaji wa kipindi hicho Ik wakati wa uzinduzi wa show hiyo. Kushoto patna wa Nando Mshiriki kutoka Namibia Cleo. |
MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAR 27.5.2013 VICHWA VIKUBWA LEO WALIOFELI FORM 4 WAULA,PAA LA UWANJA WA NDEGE PEMBA LINAVUJA NA CCM KUMKWAMISHA LWAKATARE?
YALIYOJIRI KWENYE USIKU WA HIP HOP DAR LIVE TAZAMA PICHA ZA MSHINDI ALIYESHINDA MIC KING 20
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)