Home » Archives for 05/21/13
WASANII WAKIKE WAJITOLEA KUTENGENEZA WIMBO UNAOHUSU FISTULA
7:20 AM
•
wasanii wa kike nchini, wamejitolea kutengeneza wimbo unaowahamasisha wakinamama kujitoa na kuona kama fistula ni ungonjwa ambao upo na una tibika, na kuwahamasisha wakina mama kutokuona aibu na kubaki nao nyumbani. wimbo huo umewashirikisha wasanii kama Mwasiti, Recho, Lina, Vanessa Mdee, Feza Kessy,Keisha, The Trio, Dayna, Maunda Zorro, Pipi, Queen Darlin, Vida, Zuhura, Meninnah, Vumilia,Baby J, Sundy Gaga. |
PROFESSA JAY ACHUKUA KADI YA CHADEMA UENDA 2015 AKAGOMBEA UBUNGE
6:53 AM
•
Msanii mkongwe nchini maarufu Joseph Haule a.k.a Professa Jay amejiunga rasmi katika chama cha Demokrasia na maendeleo'CHADEMA'
Professa Jay amekabidhiwa kadi hiyo na mbunge wa Mbeya mjini 'Joseph
Mbilinyi' a.k.a Sugu.kujiunga kwa msanii huyo katika chama hicho kuna
uwezekano akagombea ubunge 2015.!!!!!!!
Huu ndiyo ujumbe wa Professa Jay baada ya kupokea maswali mengi kutoka kwa mashabiki wake katika mtandao wa twitter.
'Mmeniuliza sana kwamba mimi ni CHAMA gani jibu litapatikana Muda sio mrefu!! Still in Dodoma STAY TUNED'
'Mmeniuliza sana kwamba mimi ni CHAMA gani jibu litapatikana Muda sio mrefu!! Still in Dodoma STAY TUNED'
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)