Home » Archives for 04/26/13
MASHABIKI WA DIAMOND, PICHA ZAKE HIZI KUHUSU SAFARI YAKE YA UINGEREZA, AMEENDA KUFANYA SHOW LONDON. ENJOY
1:26 PM
•
PICHA ZA JAY Z, BEYONCE NA MTOTO WAO BLUE IVY KWENYE GOODTIME HUKO UFARANSA
1:22 PM
•
Wakati
ile Event kubwa ambayo imewakutanisha wale mastar ambao wametoklezea
katika orodha ya Time ya wati 100 wenye influence zaidi duniani ikiwa
imefanyika huko New York Marekani na Rapa Jay Z akiwa ni moja kati ya
watu wakubwa waliomiss tukio hili, Tayari imeshafahamika ni kwasababu
gani mkali huyu hakuwawepo katika tukio hili kubwa.
Jay
Z pamoja na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy, kwa mara nyingine kati ya
zile chache sana ambazo zimewahi kutokea, wameonekana waziwazi huko
Paris Ufaransa wakiwa wanapata msosi wa mchana katika mgahawa mmoja
maafuru, ikiwa ni Tym ya pamoja ya familia mbali na majukumu mbalimbali
ambayo mara nyingi huwa yanawaweka mastar hawa mbali mbali.
Enjoy the pictures;
HUYU NDIO KIJANA ALIYEFUKUZWA HUKO SAUDI ARABIA KUTOKANA NA KUWA MTANASHATI KUPITA KIASI.
1:17 PM
•
Huyu
ni Omar Borkan Al Gala, mwigizaji na pia mpiga picha wa huko Dubai
ambaye kwa mujibu wa taarifa, yeye pamoja na wenzake wawili wamefukuzwa
huko Saudi Arabia kutokana na kuwa na muonekano mzuri kupitiliza (Yaani
ma-handsome kupita kiasi) ili kuepusha kuwaingiza katika tamaa wanawake
ambao hushindwa kujizuia kuwashobokea.
Omar alitolewa na maafisa wa polisi na kunyimwa kuhudhuria katika tamasha ambalo hufanyika kila mwaka nchini humo ambalo huusisha mbio za Ngamia, Janadriyah Festival ambalo kwa sehemu kubwa huhudhuriwa na matajiri, na baadhi ya vyanzo vya taarifa vinasema Omar alitolewa kutokana na mualiko wa msanii wa kike maaruku kutoka Falme za Kiarabu ambaye walihofia angeweza kutengeneza mahusiano naye.... na wengine wakisema ni hofu ya wakubwa kuibiwa mademu wao.
Omar alitolewa na maafisa wa polisi na kunyimwa kuhudhuria katika tamasha ambalo hufanyika kila mwaka nchini humo ambalo huusisha mbio za Ngamia, Janadriyah Festival ambalo kwa sehemu kubwa huhudhuriwa na matajiri, na baadhi ya vyanzo vya taarifa vinasema Omar alitolewa kutokana na mualiko wa msanii wa kike maaruku kutoka Falme za Kiarabu ambaye walihofia angeweza kutengeneza mahusiano naye.... na wengine wakisema ni hofu ya wakubwa kuibiwa mademu wao.
VIDEO YA MADEE --SIO MIMI INASEMEKANA KUCHOCHEA USAGAJI::Inaonesha baadhi ya wasichana wakinonyana ndimi
MSANII JAGUAR TOKA KENYA ANUNUA NDEGE BINAFSI
12:28 PM
•
Jaguar anaefanya vizuri kwenye muziki wake huko nchini Kenya na Africa
kwa ujumla inasemekana he had purchased ndege yake hiyo binafsi siku za
nyuma kipindi cha kampeni za uchaguzi nchini Kenya na ameshaitumia mara
kadhaa ... Jaguar
ambae hivi karibuni ameachia single yake mpya inayojulikana kama
KIPEPEO inasemekana amenunua ndege hiyo ambayo pia ameshaipa jina lake,
yaani AIR JAGUAR ...
Jumamosi moja katika uwanja wa ndege wa Wilson Airstrip uliopo nchini
Kenya, Jaguar anasemekana kuitumia ndege hiyo inayopandisha abiria sita
kwenda kustarehe huko Great Lake Resort, Niavasha akiwa na baadhi ya
wasanii wengine …
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)