NEW TRACK: MH TEMBA FT ASLAY & YP_TOROKA UJE.

1:10 PM
<

NEW TRACK; CHIN BEES FT AIKA & NAHREEL_LET ME KNOW.

1:06 PM

NEW TRACK - Black Rhino ft Soprano- Mke Mwema

12:50 PM

HII SASA KALI KUTOKA KWA MSANII SHAA..." NITAVUA NGUO ZOTE HADHARANI ENDAPO VIDEO YANGU ITAFIKISHA VIEWS 100,000"

12:40 PM


Kwa waliokuwa na hamu ya kumuona huyu naye akiwa nusu uchi na kivazi cha kuogelea tuu, huu sasa ni wakati wao.....

Coca Cola pop Star maarufu kwa jina la Shaa amedai kuwa yupo tayari kuvua nguo zake hadharani na kuyaanika maungo yake nyeti na kubakiza kichupi cha kuogelea tu endapo video yake mpya ya Lava Lava itafikisha views 100,000 katika mtandao wa youtube

“Lava Lava Video imefikisha views 44,000+ leo.Endapo itafikisha 100,000 basi ntavua nguo zote na kuogelea coco beach mchana kweupe lets do,”Alitweet Shaa katika mtandao wa kijamii wa Twitta na kuongeza




“Niliitupia kiutani tu nikidhani in one day kupata views elfu50 ni ngumu…sasa naona watu wameniamkia! Kwa spidi hii…mmmh…noma,”

"JAPOKUWA SIJAONA MSANII ANAYENIFIKIA KWA HELA NINAYOPATA KWENYE RINGTONE LAKINI UKWELI NI KWAMBA WASANII TUNANYONYWA"...DIAMOND

12:35 PM

Suala la wasanii kunyonywa na makampuni ya simu kwenye mauzo ya ringtone linamuuma kila msanii, hata Diamond ambaye ndiye msanii anayeingiza fedha nyingi zaidi kuliko yeyote Tanzania katika biashara hiyo.


Jana kupitia Instagram, aliandika kilio chake:

Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatudump baada ya kufanikiwa kwenye uchaguzi wao, bila kujali thamani na Mmhango wetu kwao.

Hata hivyo kuna watu wanaoamini kuwa Diamond hapaswi kulalamika kwakuwa ndiye msanii anayefaidi zaidi matunda ya muziki Tanzania.

Mmoja wa followers wake aitwaye Princestepp aliandika: Hupaswi kulaumu wewe maanake kati ya wasanii wachache walioweza kula hela za watanzania chini ya ya serikali ya rais wetu Kikwete ni wewe acha unafiki wasanii wengine ambao hawajapata fursa kama yako walaumu vipi sasa?

Diamond alijibu: Mi nimekula pesa na bado nakula pesa kwa juhudi zangu za kujituma jukwaani na kufanya show nzuri, sio kuwa naitwa kupewa pesa za ringtones nah! Napewa show…. So nikiwa kama mfano mzuri kwa wasanii lazima niwe mstari wa mbele kupigania haki za wasanii kiujumla.

Aliongeza, “Mi napigania haki zetu upande mwingine wananiona snitch.. wakati mi naamini katika wasanii wote japo nadhulumiwa lakini hakuna hata anayefikia hela nnayolipwa kwa rintones.. ila naona haiwezekani kwanini watufanye wajinga watu wapewe haki zao.”
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates