OFFER TOKA SIX RECORDS ZANZIBAR KWA WANA HIP HOP CHIPUKIZI

2:00 PM

t

Baada ya kumdondosha producer mpya anaekwenda kwa jina la M-Touch  toka pande za kenya Studio ya six Music chini ya C.O Side tothelee imetoa offer mbili kwa wasanii wa wachanga na wale wanao fanya vizuri kwenye mziki wa hip hop zanzibar akiongea na chiwileinc kupitia show ya One step in hip hop ndani ya 90.9 chuchu fm akiwa na producer wake M-Touch  amesema kua kwa wasanii wa kubwa ametoa offer ya kurecord ngoma kwa punguzo la 50% uku wasanii wa changa wakipata Offer ya kurecords bure baada ya kukizi vigezo vya Uongozi wa studio

So kama unakipaji nafasi ni hii kwa maelezo zaidi piga namba
0712-084660 - chiwile jr
0714- 249514 - tothelee

NEW TRACK: JANJARO FT PNC - MAISHA YA SKONGA

12:33 PM

King Kapita Feat. Godzilla - Kuna Tatizo Kwani [Teaser]

12:20 PM

NEW TRACK: MON G FT P THE MC - BADILIKA

12:09 PM

NEW TRACK: BONTA - LETA BAADAE

12:05 PM

NEW TRACK: Godzilla_ Zaidi Ya Hapo

11:48 AM

NEW TRACK: HAJJI BSS - FOREVER

11:44 AM
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates