Home » Archives for 03/17/13
LYRIC:NEY WA MITEGOFT DIAMOND _MUZIKI GANI.
7:53 AM
•
ARTIST: NEY WAMITEGO FT DIAMOND
PRODUCER: MR TOUCH
CHORUS
Hivi nyi ma mc mnachoimba kitu gani, mara bangi mara
matusi sa ndo muziki gani (diamond).
Hii no hip-hop h.o.p muasisi wa burudani, tushachoshwa
kutwa mapenzi, kabane Pua nyumbani (ney)
X2
DIAMOND
Hata bibi yangu mi aliniambia , mwanamke anahitaji kubembelezwa
Kupetipeti matunzo pia, ukienda rafu utampoteza,
Muziki ni mfano wa binti muzuri,
Na ndio maana namtunza kwa vazi na uturi
NEY WA MITEG
Aaah piga kimya, we ndo haufai kabisa hauna maana
Wabana pua kila siku mnarogana, bibi yako alikuambia
muziki ni kama binti
Mbona unawachezea unawatema kama big g
Mara wema, mara Jo keti, mara Naj, mara Penny, je
mnafanya mziki mpate mabinti
DIAMOND
Uuuhhuuuu, hata wazee wazamani, walishasemaga kazi na
dawa
Chamuhimu jukwaani, ni kuhakikisha wanapagawa,
Kwa michezo ya kuringa ringa ndo huwa wanadata
Badilika usiwe mjinga, utawakamata
CHORUS
Hivi nyi ma mc mnachoimba kitu gani, mara bangi mara
matusi sa ndo muziki gani (diamond).
Hii no hip-hop h.o.p muasisi wa burudani, tushachoshwa
kutwa mapenzi, kabane Pua nyumbani (ney)
X2
NEY WA MITEGO
Muziki wenu ushirikina ndio umetawala, q chilla analalama
anasema umemroga
Mganga wako
aliekutoa umemkimbia hujalipa, bila
skendo za magazeti basi huskiki
DIAMOND
Mi ni mti wenye matunda, milele siogopi kupigwa mawe
Ubaya wenu wengi kayumba, elimu mliitupa sandakalawe
NEY WA MITEGO
Bado hujanishawishi, bongo fleva inanipa kichefu chefu
Kwanza nyie malimbukeni wa umaarufu
Mnalenta maringo mpaka kwa mashabiki , Wabana pua nyie
watoto sio riziki,
Mnavaa nguo za dada zenu, zinawabana mapaja nyie makaka
duu
Aah nyie watoto mchele mchele , kwenye show viuno mbele
mbele X2
Nimewanyamazisha, brazameni vipi we bado unabisha
DIAMOND
Mi nnamengi nnayajua, ila we ni mtemi utaanzisha utata
Michezo yenu kutoboa pua, bora ninyamaze usinipige mbata
LYRIC:NIKI WA II,JOH MAKINI FT G WARA WARA_NJE YA BOX.
7:51 AM
•
House of music A
city in tha house
Mpeleke joh makini nikki wa pili wara wara
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
Nje ya kumi na nane
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
(VERSE1: Niki wa pili)
Mungu nijalie demu mpenda pesa
kila siku nipigane kuwa bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wana wamegewa wengi
ndio kitu wamekosa
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na
raha na misoto sana
Huyo demu hanifai changamoto hana
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu
Sitaki demu wa kitanga jioni moja kanga
Tayari amejipanga kwa mabusu mangapi
Demu nayemtaka manka wa kichaga jioni anaulizaga
umeingiza sh ngapi
(CHORUS: G –Nako)
Mpeleke nje nje nje nje ya kumi nane
Nje nje nje nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje nje ya box
nje ya box
Nje ya kumi na nane
(VERSE2: Joh Makini)
Namtoa nje ya box ndio nampecha ndani ya box
Aulizie ferrari jo ni kitu gani verosa
Demu boda boda kwenye bajaj anasinzia
itaua kipaji na uwezo wa kufikiria
Asinipende kama joh anipende kama stars
Super kabisa ile
gumzo ya kitaa
Hili nikaze asinilemaze nikadumaa
Sio demu anayehitaji kuwa na ndoa
Bali mwanamke anayehitaji mahitaji ya ndoa
Na sheria mikononi simpgi demu
Nachukua sheria kiunoni joh let me kill them
Asiyefanya kazi ndio neno lenye uhai
Asishike neno ashike maneno lenye maslahi
My lips don’t shine when yo hips don’t lie
Sio wa lift vocha
chips mayai
Demu cheap me hanifai
Habari gani afanye niwze milioni
Kumuonga laki mbili tabu nisione
Ukiona mdundo ni mapene ya mweusi
Sio miaka thelethini na tano driving school
(CHORUS: G –Nako)
Mpeleke nje nje nje nje ya kumi nane
Nje nje nje nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje nje ya box
nje ya box
HII NDO NYUMBA ANAYOISHI MAKAMU WA RAISI NCHINI KENYA WILLIUM RUTO YENYE THAMANI YA MILLION 450 ZA KENYA
7:45 AM
•
Nyumba hii inathamani ya 450 Million za Kenya ambavyo
ndani ya nyumab hiyo kuna Office block, garage, swimming pool, gazebo,
generator house, staff residence and a comptroller's unit
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)