LULU
OSCAR UMETUACHA KWENYE MAJONZI MAKUBWA ULIPOTUTOKA USIKU WA JANA,MARA
YA MWISHO TULIPOTENGENEZA NYIMBO YAKO KWA MARA YA KWANZA BAUCHA RECORDS
MWEZI ULIOPITA NA KUWA NA MALENGO MAZURI YA KUWA MSANII BORA WA BONGO
FLEVA NA KUFANIKIWA KUFANYA NYIMBO HIYO INAYOITWA "LULU WA UKWELI"
LAKINI M/MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI INNALILAH WA INNALILAH RAJUUN....M/MUNGU
AKULAZE MAHALI PEMA PEPONI....AMIN.
Home » Archives for 11/13/12
MARIAM KHAMIS 'PAKA MAPEPE' KUZIKWA KESHO MAGOMENI
12:55 PM
•
DAR ES SALAAM, Tanzania
MAZISHI ya aliyekuwa mwimbaji mahiri wa taarabu wa nchini Mariam
Khamis ‘Paka Mapepe’, yanatarajiwa kufanyika kesho Jumatano, Magomeni Makuti
wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Mariam (pichani) ambaye hadi anafariki alikuwa ni mwajiriwa wa TOT
Taarab, alimefariki alfajiri ya kuamkia leo kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,
kifo chake kikitokana na matatizo ya uzazi, ingawa mtoto wake yu salama.
Kwa mujibu wa Baba Mdogo wa marehemu anayetajwa kwa jina
moja la Sembuli, alisema kuwa, wamefikia uamuzi wa kumzika marehemu kesho, baada
ya kuombwa na Mkurugenzi wa TOT Kapten Komba kufanya hivyo ili wapate
kuhudhuria mazishi ya mfanyakazi mwenzao.
Kundi la taarabu la TOT, liko mjini Dodoma kwa hivi sasa
kwenye Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ambapo msiba wa marehemu huko
nyumbani kwa baba yake mkubwa Magomeni Makuti, Mtaa wa Ndovu Bar,
yanakotarajiwa kufanyika mazishi hayo.
Mariam Khamis alitamba sana
na wimbo wa Mapaka Mapepe alouimba akiwa na Melody, kiasi cha kumpa jina hilo la utani, kabla ya
kujiunga na Zanzibar Stars, kisha Five Stars na hatimae TOT.
Wimbo wake wa kwanza kurekodi na TOT ulikuwa ni ‘Sidhuriki
na Lawama’ ambao unatamba sana
hadi sasa anapopchukuliwa na mauti yaliyoelezwa kutokana na Kifafa cha Uzazi
alichokumbana nacho baada ya kujifungua kwa operesheni kubwa.
Wasanii mbalimbali wa muziki nchini, hususani wa Taarabu,
wameelezea kustushwa na kifo cha Mariam, ambapo Habari Mseto ulishuhudia
waimbaji na mashabiki mbalimbali kwenye Hospitali ya Muhimbili, ulikohifadhiwa
mwili wa marehemu.
KWA WALE MNAOPENDA KUTONGOZANA FACEBOOK ACHENI HIZO HEBU JIONEE HICHI KISA NDIO UTAELEWA NINI NAMAANISHA
12:52 PM
•
Mpendwa msomaji, huyu ni Nancy Mitisa aliyekumbwa na zali la kuombwa Tigo......
Jambo hilo lilimkera, lakini braza huyo aling'ang'ania apewe au atafutiwe......
Varangati lilienda mbali zaidi mpaka wakaanza kupeana matusi ya nguoni.......
Haya ndo mabishano yao:
----------------------------------------------------------------
-------------------------------------------------------------------------
(1) Ni kawaida kwa wanaume wetu kumtamkia mwanamke "I Love You"
katika email, text message au post ya kwanza tu. Umempendaje mwanamke
ambaye humfahamu na ndiyo tu umeanza kuwasiliana naye?
Tabia hii inakera
na mnaishia tu kujidharaulisha na kujishushia hadhi. Na kwa wazungu
ndiyo kabisa wanaishia tu kushangaa!!!
(2) Ni hatari sana kuacha namba zenu za simu hovyo hovyo mitandaoni.
Namba hizi zimeandikishwa na ni utambulisho wenu. Ni nini
kinachowafanya kuziacha namba hizo kila sehemu mitandaoni? E-mail moja
tu tayari mtu umeshatoa namba ya simu - call me, call me.
Unamjuaje huyo
unayempa hiyo namba yako? Ni nini kinachokufanya uamini kwamba kweli
mwanamke wa kweli na heshima zake atachukua simu na kumpigia mtu ambaye
hamfahamu; na ndiyo kwanza tu wameanza kuwasiliana?
Acheni kuacha namba zenu za simu hovyo hovyo mitandaoni. Ni hatari !!!
(3) Acheni pia kutumia email zenu za kazini.
Vipi kama huyo unayemwandikia ataamua kuwasiliana na mwajiri wako na
kulalamika kuwa unambugudhi?
Kumbuka kuwa huyu ni mtu ambaye
mnawasiliana mtandaoni tu na humfahamu. Wewe umekazania kutaka kumpiga
tigo, vipi akiamua kuzusha zali kwa kuwasiliana wakubwa wako wa kazi
huku akitishia kwenda mahakamani? Utaishia kufukuzwa kazi bure. Kuweni
waangalifu kaka zangu !!!
(4) Jambo linalonikera kuliko yote ni kuandamwa na wanaume wakitaka niwatafutie wanawake wa kupiga tigo. Mtu anakuandikia moja kwa moja akikwambia umtafutie mwanamke mrefu,
mweusi kidogo, mnene wa wastani na mwenye matako makubwa, ku*** tamu nene
na mku*** wa uhakika ili awe anampiga tigo.Mimi siyo "Pimp".
Jambo la
kusikitisha zaidi ni kwamba wanaume wengi wenye tabia hii na wanaosumbua
sana ni waume za watu na kwenye profile zao za Facebook wanaonyesha
kabisa kuwa wameoa na wengine wana picha wakiwa na familia zao. Lakini
bila aibu hata kidogo bado tu wanaandika wakitaka niwatafutie malaya wa
kuwa wanapiga tigo. Wengine mpaka wanaahidi kunilipa.
Nimekuwa mkali sana katika jambo hili ingawa wengine wanakuwa ngangari mpaka kufikia kiasi cha kugombana nami na kuniporomoshea matusi kama huyu mchovu anayejiita Robyn Roberts. Sijui kama ni jina lake halisi lakini nilikuwa mkali sana kwake aliponishupalia kuwa eti ni lazima nimtafutie mwanamke wa kuwa anapiga tigo kwa siri kwa sababu ana mke.
Ni
tabia gani lakini hii jamani? Ni kweli mko desperate namna hiyo mpaka
mnakuwa wawazi na bold kiasi hiki tena kwa watu ambao hamuwafahamu?
Hamuogopi UKIMWI na haya mambo yenu ya tigo za siri huku mkiwa na wake
na watoto huko majumbani mwenu?
Mazungumzo Yalianza Hivi....
Halafu Yakaendelea Hivi....
MY EVERYTHING BY ALLI KIBA
12:30 PM
•
My Everything – Alikiba
Verse 1
Ilikua usiku wa jana asubuhi Nilipoamka….
Nikajikuta Nafuraha isio kifani….
Kidogo nilishtuka, SimuI ilivyoitaa….. Niliipokea
nikasikia analia…. Akashindwa hata kuongea…… Nikahisi msiba
ndio umemfikaa…
Akauliza Umelala? Ooh Baby nalia na mola…..
Nishateswa Sana na Penzi Nakosa Hata Raha….
Nahisi vibaya naona Nakupenda Sana…………..
(Chorus) Ooooobaiby u My Everything My Everything
Kila Nachofanya Kwa Ajili Yako My Everything
Hata Kama Mi Sina You My Everything My
Everything
Kupendana Kwa Sana u my Everything My
Everything (Wololowololo) U My everything my everything
( ". " ) My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) Hey u My Everything…..
Verse 2 Kweli anavyojiona kama yuko paradise…….
Anasikia raaaha mwili wake nikimshika……
Haitaji stress tena anataka tu furaha…… Nami
mwendo uleule staki mwangushaa….
Maumivu atakitenaa…………. Ooooh baby utojuta
kuupenda…… Hata mimi mapenzi oooh baby yashanitesa
sana…… We lia na mola walimwengu akileta
husda..
Mchana na lala usiku nafanya ibada…..
(Chorus)
OOoooobaiby U My Everything….. My Everything Kila nnachofanya kwaajili yako….. My Everything
Hata Kama Mi Sina…. U My Everything My
Everything
Kupendana Kwa Sana….. U My Everything….. My
Everything
(Ooooohhhoo) U My Everything….. My Everything ( ". " ) My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) Hey U My Everything….. My Everythng…..
( ". " ) U My Everything….. La Muja De Mivida
( ". " ) We nikila kituu… ( ". " ) Ooooou woowaaauaaa….. My Everything
( ". " )Hey U My Everything….. My Everything
(Wololowololo) Wolo….. (Wololowololo) Woloho
(Wololowololo) Wolo….. (Wololowololo) Woloho
(Wololowololo) Wolo…..
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)