HAPPY BIRTHDAY MAN TUZZO WA RYMES

7:12 AM

T-Boz wa TLC asema Nick Minaj akafanye Porn sio kuwa jaji “How the hell is she gon’ tell me what I should be doing when her as* can’t even sing”

6:48 AM
T-boz
Member wa TLC T-Boz amemvaa tena rapper wa Young Money Nicki Minaj ambae ni jaji wa mashindano ya kuimba yenye lengo la kuibua vipaji ‘American Idol’. T-Boys hakubaliani kabisa na kitendo cha rapper huyo wa kike kuwa jaji wa mashindano ya kuimba wakati yeye sio mwimbaji na kwa maoni yake kitu ambacho anaweza kufanya hata bila kuwa na kipaji ni Porn.
Katika interview kwenye ‘this is Max in London’ mwimbaji huyo wa kike wa kundi la TLC alifunguka kwa madaha, “kwa sababu tu unaonekana kwenye mzunguko wa TV, boning and sucking p*enises’, sio kipaji, honey labda kwenye soko la Porn, lakini sio hapa (kwenye muziki), tunaburudisha. Siheshimu nusu ya watu ambao nimewaona hivi karibuni. Ataniambiaje nini nachotakiwa kufanya wakati hawezi hata kuimba?
“Kwa nini yuko pale? Halafu...sasa wana rapper ambae hata haimbi na anajaji? So, hii inaonekana imeegemea kwenye umaarufu nahisi., namaanisha, kwa kile anachopata kila mmoja wao. Chukua mkwanja wako, honey. Nachosema ni kwamba sitaangalia show yenu tena.” Ndo maoni ya T-Boz kuhusu nafasi ya ujaji wa Nicki Minaj kwenye mashindano ya kuimba “American Idol”.
Hata hivyo baada ya maoni yake kutolewa kwenye media mbali mbali T-Boz aliamua kutumia account yake ya twitter kuweka kulezea zaidi kile alichosema. Hizi ni baadhi ya tweet zake:
“Im laughing at y’ll guess u told me huh lol My whole comment wasn’t about chick but some of the guest appearances & not Brittney at all” ilikuwa tweet yake ya November 8.
“& it’s not a diss these shows are based on popularity & bringing in the viewers & bringing their umbers up not based on picking talent lol.”
Nicki Minaj ni moja kati ya majaji wanne wa American Idol na yeye pekeendiye rapper na tangu achaguliwe kuungana na majaji wenzake ameshakwaruzana na Mariah Carey ambae ni jaji mwenzake kwenye shindano hilo. Minaj ameachia reality show yake ‘My truth’ikiwa na vipande vinavyoelezea uwepo wake kwenye shindano hilo kama jaji.

Chris Brown aweka wazi uhusiano wake na Rihanna, “ sitaki kuharakisha kitu, kuweka pete yeyote kwenye kidole cha mtu yeyote

6:43 AM

The R&B star amefunguka vizuri zaidi kuhusu uhusiano wake na ex girlfriend wake Rihanna baada ya kuonekana pamoja mara kwa mara bila kutoa tamko rasmi linalozungumzia uhusiano wa wawili hao ukiacha mbali ile video aliyoiachia baada ya kuachana na Karrueche Tran na kukiri kuwa bado anawapenda wote.

The ‘don’t work me up’ hit maker amesema katika interview, “ni mimi kuwa mkweli na nafsi yangu. Mimi na Rihanna tuna historia, na mimi na yeye tutaendelea kuwa best friends, na tunafanyia kazi mahusiano yetu sasa.” Mkali huyo anajua kabisa kuwa watu wanasema mengi kuhusu mahusiano yao ambayo hayaeleweki vizuri mbele za watu, ni marafiki wa aina gani ama ni wapenzi wa aina gani hawa.

Kuhusu hilo akafunguka, “nadhani kila mtu anaguswa na hii situation ya zamani, bado ni hali ya hatari, kwa sababu ni yale tunayo-deal nayo leo na ndio maana nafanya Jenesse Center ambayo inaonesha kuwa domestic Violence sio sawa. Lakini kuhusu maisha yetu, nadhani watu wanatakiwa kuyapa nafasi, sio tu kuyapa nafasi, shut the hell up! Mwisho wa siku, maoni yoyote yale hayawezi kubadili chochote ninachofanya.”

Ingawa anafeeling kwa Rihanna, Breezy amesema haoni dalili za ndoa katika maisha yao ya hivi karibuni,na kwa nini aliamua kuachia video ambayo aliongelea kuhusu kuwapenda wanawake wawili.

“Ninapojisikia hali flani, iwe ni ya muziki ama emotion, najisikia ni vizuri kushare na watu, kwa sababu ni experience na fundisho katika maisha.”

Na kuhusu kuwepo na wazo la ndoa alifunguka, “sijaribu kuharakisha mambo, kuweka pete yeyote kwenye kidole cha mtu yeyote au kudanganya mtu yeyote. Ni bora niwe mkweli kabisa.
Angalia interview hiyo hapa:



Lord Eyez, wakili wake na weusi wazungumzia kesi inayomkabiri, ahaahidi kuwasapraiz fans wake

6:39 AM
Lord Eyez (kulia) akiwa na wakili wake wakati wakiongea na waandishi wa habari

Mweusi toka A- City, Lord Eyez amekutana na waandishi wa habari akiwa na wakili wake ili kuzungumzia kesi inayomkabiri ya wizi wa vifaa vya gari ambayo ili-make headlines sana siku kadhaa zilizopita.
Lord eyez amesema yeye kwa sasa anaiachia mahakama ambayo ndiyo itaweza kuchukua maamuzi ya kisheria kama yeye alihusika ama hakuhusika katika wizi huo wa vifaa vya gari.
Wakili wa msanii huyo anayejulikana kwa jina la Peter Kibatala amesema kesi hii imefanya mpaka Lord Eyez kuonekana kwamba yeye ndiye mhusika wa wizi wa vifaa hivyo lakini kwa sasa hivi wanaiachia kwanza mahakama ndiyo itakayoweza kuchukua uamuzi sahihi kuhusiana na kesi hiyo.
Hizi kauli za mweusi huyu na wakili wake zinaonekana zimepimwa na ruler ya kisheria kwa sababu ni kosa kisheria kujadili kesi ambayo iko mahakamani (commenting on a pending case).
Weusi nao walisema ‘neno’ kuhusu tuhuma zinazomkabili member huyo na kwamba tukio hili limewaathili hasa pale wanapokutana na watu mbalimbali na kusikia story toka kwa watu kwamba wote watakuwa wanahusika katika tukio hilo wakati ni story ambazo sio za kweli.
Kesi hiyo inatarajiwa kusomwa katika mahakama ya mwanzo jijini Dar es Salaam tarehe 13, 14 na 15 mwezi huu wa Novemba.
Hata hivyo the N2N soldier amesema kwa sasa anachotaka kufanya ni kudondonsha ngoma yake mpya kali ambayo anataka kufanya ‘surprise’ kwa mashabiki wake katika industry ya muziki wa Bongo.
Lord eyez alituhumiwa na msanii mwenzake Ommy Dimpoz kuwa alishirikiana na wenzake kumuibia vifaa vya gari lake na tuhuma hizo nzito ambazo ni pigo kwa kundi la weusi kiujumla zilipelekea Lord Eyez kukamatwa na kushikiliwa kwa na jeshi la polisi kwa siku kadhaa na baadae kufunguliwa kesi mahakamani ambapo alipewa dhamana.

Check Walter Chilambo alivyo chukua ml.50 BSS

6:37 AM
Walter baada ya kukabidhiwa zawadi ya Milioni 50 alizojishindia
Usiku wa kuamkia leo Jumamosi Nov 10, 2012 ndio ilifanyika fainali ya shindano kubwa la kutafuta vipaji vya kuimba Tanzania Epic Bongo Star Search (EBSS), ambapo lilimuibua mshindi wa mwaka huu ambae ni Walter Chilambo kutoka Dar es salaam aliyejinyakulia zawadi ya shilingi Million 50 ya kitanzania iliyokuwa imeandaliwa kwa mshindi.



Shindano la mwaka huu lilionekana kuwa na ushindani mkubwa kutokana na uwezo mkubwa waliokuwa nao washiriki hasa waliofanikiwa kuingia hadi hatua ya 5 bora. 





Walter aliibuka mshindi baada ya kufanikiwa kuingia 2 bora na bibie Salma kutoka Zanzibar alietoa ushindani wa hali ya juu.


DAY 2 LOCATION VIDEO GHAKA FT MR WAIZ & AMAR KELLY DJ

6:34 AM















































 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates