Home » Archives for 11/01/12
Akon amsaini Konvict mtoto wa mtaani kutoka kenya mwenye miaka 14, story yao ni kama movie.
10:33 AM
•
Wiki hii imeanza na zali zaidi ya lile la
mentali kwa mtoto ambae alikuwa anaishi katika mazingira magumu sana nchini
Kenya, inaweza kuwa ndoto alizoota zikmekuwa kweli na kama hakuwahi kuota basi
Mungu amemsapraiz na kujikuta anapata deal la uhakika la kufanya muziki chini
ya lebel kubwa duniani ya ‘Konvict’.
Mtoto huyo anaeitwa Wilson alimsimamisha
Akon wakati anaelekea kupiga show pande hizo na akaona kabisa kuwa hii ilikuwa
ni chance ya yeye kumueleza Akon ya moyoni tena sio kumuomba mkwanja ila ni kumuomba
kujiunga na lebel ya Konvict. Duh, unaweza kudhani mtoto huyo alikuwa mwehu
eeeh…dogo alirusha mkuki vizuri!!
Baada ya Akon kukubali kusimama tu mtoto
huyo alizitumia dakika chache kumsimulia hali mbaya ya maisha anayoishi na
jinsi ambavyo baba yake alivyomtesa na kulazimika kulala nje, akaeleza jinsi
gani anavyoupenda muziki na hana jinsi ya kuweza kuingia studio kurekodi.
Surprisingly, Akon akaamua kumpa nafasi, akaingia nae kwenye gari lake na
wakaelekea wote kwenye concert yake.
Hatujui nini kiliendelea kwenye gari lakini
inaonekana waliendelea kuongea kuhusu yale waliyoyaanzisha. Na haikuwa raisi
kwa Akon kumpa nafasi kirahisirahisi tu.
Wakati anaendelea na performance yake mkali
huyo toka Senegal alimuita stejini yule mtoto. Kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa
kubwa na Akon, dah, hii ni bahati ama baraka?! Akon akamkabidhi dogo mic na
kumwambia aperform!
Ni kama ulikuwa mtihani wa mwisho kwa dogo
huyo ambao ungemtoa lawama Akon kirahisi, dogo alifunika vibaya na kuonesha
kipaji kikubwa alichonacho.
Haikuhitaji press release ama press
conference kutangaza uamuzi wa Akon, alishika mic na kutangaza mbele ya umati
wa watu, “Wilson the newest member of the Konvict family”. Ni hivyo tu dogo
anachukua pipa kwenda kuishi ndoto zake Marekani.
Huyu ni mtoto wa kiafrika mwenye story ya
mafanikio inayofanana na ya Akon.
Hereni za kumsapoti Obama alizovaa Beyonce zampa deal mtengenezaji, aongeza mauzo ya hereni kwa kasi, apata order dunia nzima.
10:31 AM
•
Ni usanii na ubunifu uliofanywa na designer
mmoja wa mambo jewelries aliyetengeneza hereni ambazo wanawake walitakiwa
kuzivaa ili kuonesha kuwa wanamsapoti Barack Obama katika uchaguzi wa uraisi wa
Marekani, ambae aliuza kidogo sana mwanzoni lakini mambo yamebadilika mara tu
baada ya Diva Beyonce kuzivaa hereni hizo.
Beyonce akiwa amevaa hereni hizo |
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ designer huyo
anaeitwa Erika Pena amesema tangu azitengeneze alikuwa ameuza pea 5 tu lakini
tangu Beyonce azivae hereni hizo jumamosi iliyopita ameshauza pea 1,300 na
anazidi kupata order kutoka sehemu mbali mbali duniani ikiwa ni pamoja na
Uingereza, Uswizi, Chile, na Argentina, lakini order kubwa sana inatokea
Uingereza.
Bei ya pea moja ya hereni hizo ni dola
32…ambazo ni karibia 50,000 za kibongo.
Rihanna na Karrueche wanaona poa kuchangia penzi la Chis Brown!
10:16 AM
•
Mkasa wa mapenzi yenye pembe tatu zinazowahusisha warembo
wawili Rihanna na Karrueche Tran kwa 'Don’t wake me up' hit maker Chris Brown
unazidi kunoga siku hadi siku na imesemekana kuwa warembo hao wako poa tu na
maisha yao na ‘baby boy’ wao Chris Breezy.
Mtu mmoja ameiambia Hollywood Life, “he got them both
twisted up. He is trying to get as much p-y as he can before he leaves next
month.”
Chanzo hicho kiliendelea kufunguka, “Chris anawapenda kweli
wote na wanajua hilo na wao wanampenda pia”, akaendelea, “it’s crazy situation.
Na inafanya kazi kwao, na ni kama RiRi na K.T wako poa tu na hili, hivo ndivyo
ilivyo.”
Lakini stori za mtaa kwa upande mwingine zilisema Rihanna
aliogopa pale alihisi kuwa labda Chris angeenda na Karrueche T kwenye party
yake kubwa ya Halloween iliyowakutanisha mastaa kibao jumatano ya wiki hii.
Mtu mmoja alisema, “ingawa the 'umbrella' hit maker RiRi
alikuwa poa tu kwa kile kinachoendelea kati ya Chris B na K.T lakini hakuwa na
uhakika kama Chris ataamua kwenda kwenye party yake na K.T na hii ni kutokanana
tetesi ambazo zilikuwa zimetapakaa mitaani na kwenye mitandao kuwa huenda Chris
akatokea pale akiwa na K.T kama kawaida. Hapo ndo utaona kweli mapenzi ya
watatu hayawezekani hasa inapoonekana kuwa itabidi kukutana kwenye eneo moja.
Chis Brezzy alitangaza kuachana na Karrueche October 4, na
kauli yake ilikuwa ,” nimeamua kuwa single ili nifocus kwenye kazi yangu.
Nampenda sana Karrueche lakini sitaki kumuona anaoumia kwa sababu ya urafiki
wangu na Rihanna. Badala yake inabidi niwe single ili Kurusu kila mmoja wetu
kuwa na furaha.”
Siku chache zilizofuata Chris B alitoa video ikiwa na kauli
nyingine inayoonesha kweli anawapenda wote Rihanna na Karueche na hajui afanye
nini na hajui kama kweli inawezekana kuwapenda watu wawili lakini ndivyo yeye
anavyojisikia, lakini mwisho wa siku ikaonekana kabisa ameamua kuhamia rasmi
kwa Rihanna wake wa zamani na kumtangaza rasmi japo ndo hivyo tena hawaachani
na Karrueche pia.
Haya ndiyo yanayoitwa Triangular Love, “mapenzi ya pembe
tatu”.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)