JOBFIRE AKIONGELEA VIDEO YAKE NA SAFARI KIUJUMLA

12:06 PM

NEW TRACK- GIFT- WAMUJINI

12:04 PM

NEW TRACK- ZAGGA FT MOMBA - NAMINI MTATOKA

11:54 AM

NEW TRACK -SIDE TOTHELEE FT SULTAN KING -MAMA WAKAMBO

11:51 AM

New track: Darasa ft. Winnie - Nishike Mkono

11:41 AM

Hiki ndicho Bonta angependa kitokee kwa makundi ya Hip Hop Tanzania, kuhusu alichosema Nikki Mbishi “No Comment”.

11:36 AM
bonta
Bonta a.k.a Maarifa hivi karibuni ameachia wimbo wake unaoenda kwa jina la ‘Tukutane Maktaba’ ambao umesababisha maoni mbali mbali kutoka kwa watu hasa kupitia mitandao ya kijamii kama facebook, wengi wakimpa big up kwa kazi yake, lakini pia alipata criticism toka kwa Nikki Mbishi wa Tamaduni Music ambae amekuwa akiandika status kuwamcriticise Bonta na baadhi Weusi.
Mweusi toka katika kundi la River Camp Soldiers alifanya interview na Josefly mtangazaji wa victoria fm iliyoko Musoma, kupitia kipindi cha Over drive.
The river camp doctor alifunguka mengi kuhusu ‘tukutane Maktaba’, kisha mtangazaji huyo aliuliza “baada ya kuachia ngoma yako watu wengi walionekana kuipokea vizuri kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii na blogs mbalimbali, lakini kuna criticism, unamfahamu jamaa mmoja anaitwa Nikki Mbishi?” Bonta alijibu “ah, hiyo no comment, hilo siwezi  kuzungumzia kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kuongea kitu chochote anachotaka kwenye nchi yetu, kwa hiyo no comment kwa hilo mtu wangu.”
Na kuhusu kile anachotamani kitokee kati ya makundi yote ya hip hop Tanzania ambacho kingemfanya aone kakundi yamepiga hatua Tanzania, alifunguka, “mi natamani kila kundi lifanye muziki wake na kila kundi litumie miguu yake kutembea kufika pale linapotamani na lisitumie mgongo wa kundi lingine, lisitumie midomo yao vibaya wala lisitumie freedom of speech vibaya, kila mtu afanye kazi yake na kila aheshimu kazi ya mtu, au sio, usitumie effort ya mtu ambayo ameshatengeneza ili upate negative publicity, at the  end of the day unajua mashabiki wako ndio mashabiki wangu, mashabiki wangu wataendelea kuwa mashabiki wangu na mashabiki wako wachache watakuja kwangu.” 

Sililiza Interview hiyo:

New track- Kamikaze ft. Bob Junior - Utamu wa Chocolate

11:28 AM

Ommy Dimpoz amkamata Lord Eyes akiiba Power windows na vifaa vingine vya gari yake. Jionee picha mwenyewe.

11:12 AM
Lord Eyes kwenye eneo la tukio

Jioni ya leo Ommy dimpoz kupitia akaunti
yake ya twitter ametweet kwamba amemkamata
rapper wa Nako 2 Nako Lord eyes akiiba vifaa vya
gari yake ikiwa ni pamoja na Power windows. Jionee
mwenyewe picha alizoweka Ommy dimpoz pamoja
na tweets zake.




Ommy aliongeza kuwa Lord amekuwa akifanya
mchezo huo kwa watu wengi akiwemo jamaa
mmoja wa Clouds anaefahamika kwa jina la Kerry
ambae pia amemfanyia mchezo huo siku za karibuni

KIRAKIRAMI - KITAELEWEKA

11:02 AM
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates