Home » Archives for 10/15/12
Madonna achojoa nguo akiimba wimbo kwa ajili ya msichana wa Pakistani aliyepigwa risasi kichwani, ‘Why!’
3:19 PM
•
Madonna |
The queen of pop Madonna ameamua kumsupport
msichana Malala “Yousafzai” (14) aliyepigwa risasi kichwani na askari wa
Taliban, ila support ya Madonna imekuwa ya aina yake ambapo aliimba wimbo wa
Human nature kama dedication kwa msichana huyo huku akivua taratibu nguo zake moja baada ya nyingine.
Madonna alikuwa katika concert ya tour yake
ya MDNA Los Angeles, na Wakati anaendelea na tamasha lake ghafla alisimama na
akasema “wataliban walimsimamisha na kumpiga risasi. Do you know the sickness
and absurdity of this?” baada ya kuwaweka sawa audience akaongea kwa sauti ya
juu “Support education!” kisha ukafata wimbo wa ‘Human by nature’ huku akivua
nguo zake taratibu moja baada ya nyingine.
Kufuatia kitendo hicho alichofanya Madonna
kinacholeta mkanganyiko hasa ukifikiria connection kati ya kuvua nguo na
kusupport harakati za msichana aliyepigwa risasi na askari wa Taliban, watu
wengi wamem-criticize sana Mwanamuziki huyo mkongwe. Mtu mmoja alitweet “Not
the right way to pay Homage to Brave Malala. It’s a way to earn cheap self
popularity,” na mwingine akatweet “Does Madonna understand how stupid and
offensive cavorting in her bra on behalf of Malala Yousafzai is? The Taliban
will love it.”
Malala Yousafzai, ni msichana mwenye umri
wa miaka 14 ambae alipigwa risasi akiwa katika gari la shule kwa sababu
aliandika kwenye blog kuhusu umuhimu wa elimu kwake, akipigania haki ya kupata
elimu kwa watoto wa kike.
Sikiliza ujumbe wa Rama Dee kwa watanzania baada ya kuitafakari show ya Rick Ross,
3:11 PM
•
Wengi walitoa maoni mbalimbali baada ya
show ya Rick Ross msanii ambae wengi hawakuamini kama kweli angeshuka bongo
land kutoa burudani kwa watanzania, lakini kwa nguvu kubwa Clouds Media Group
walifanikisha, na hapa kwa kweli wanastahili pongezi sana kwa kuthubutu kumleta
msanii aliye kwenye pick ya ulimwengu wa muziki kwa sasa (they made it).
Lakini baada ya show iliyopigwa katika
viwanja vya Leaders wengi walikuwa na maoni tofauti tofauti, wapo waliosifia na
walioponda baadhi ya vipengele.
NASSIR WA VANILLA KUTOKA NA NGOMA MPYA SOON
2:07 PM
•
Baada ya kufanya poa na ngoma yake ya hanitaki Mkali toka kisiwani zanzibar Nassir wa vanilla yuko mbioni kuachia ngoma mpya mpya ambayo anatarajia kuifanya kupitia Studio ya G-records chini ya mtayarishaji KGT akiongoa na chiwileInc Nassir amefunguka kua mda si mlefu atakua pande za Dar es salaam kwa ajiri ya ku Records hiyo ngoma "Soon mtakua kwenda ku record hiyo ngoma ila sijaju mtafanya na nani ila akili yangu ipo kwa ally Kiba au Ommy Dimponz So mashabiki wa Vanilla wakae mkao wa kula hii ni zawadi kwao" alimaliza Nassir wa Vanilla
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)