CHABY SIX - FREESTYLE

2:31 PM

Seneta - Jembe (official Video)

2:16 PM

Picha za mtoto wa PIPI aitwaye KINGSTONE aliyezaliwa Ijumaa iliyopita 14th Sept 2012

2:13 PM

Nicki Minaj ajiunga rasmi na jopo la majaji wa ‘American Idol season 12’ kwa dau la $12 million kwa mwaka mmoja.

2:12 PM
Mariah Carey, Ryan Seacrest, Randy Jackson na Nicki Minaji

Baada ya rumors kuzagaa kuwa Nick Minaj ataliongezea nguvu jopo la majaji wa American Pop Idol season 12, sasa imethibitishwa rasmi kuwa the pink Friday hit maker amesaini deal na ‘The Fox Show’ na hii ni sehemu ya jitihada ya The Fox Show kuziba gap la Jennefer Lopez na Steven Tailor waliojitoa baada ya American Idol season 11.

Mtu mmoja aliyekaribu sana na music industry amewaambia waandishi wa habari kuwa, The hip hop queen toka Young money amepewa mkataba mnono wa $12 million, na  Mariah Carey yeye anapewa  $17 kwa kazi hiyo hiyo, hapa ni makubaliano ya kila mmoja na boss wao wa The fox Show.

Watu wengi sasa wanaonekana kuvutiwa na ujio  huu wa the Young Money rapper kwenye American Pop Idol ambayo iliwapotezea matumaini mashabiki wengi baada ya Jennifer Lopez na Steven Tailor kujiondoa baada ya season 11. 

Mbali na ladha ya hip hop iliyoongezwa na Nick Minaj, super star Keith Urban pia ameongeza ladha ya muziki wa country kwenye mashindano hayo ambayo yanaanza soon na audition inaaanza New York City, na itafanyika kwa muda wa siku mbili ili kuibua vipaji vipya.

Sasa Panel ya majaji litakua na Nick Minaj, Mariah Carey, Keith Urban na ," Randy Jackson. 

Nick Minaj
Keith Urban
Mariah Carey
Randy Jackson
Nick Minaj ameonekana kufurahia sana deal hili jipya kwa tweet yake inayosomeka:

“The new "Idol" crew is wasting no time. Nicki will start by helping to hand-pick talent in her hometown. "New York auditions today & tomorrow! See ya there barbz!!!!!!!!!"

Sio tu watu wa kawaida watakuwa impressed kwa Nicki Minaj kujoin American Pop Idol lakini pia celebrities pia imewa-impress. Wiz khalifa, baba kijacho ni mmoja wao, yeye alipolulizwa kutoa maoni yake alisema:

"That's crazy because I heard a lot of the rumors and stuff like that, but for that to be reality that's insane, man," the Taylor Gang captain said. "I don't think anybody could ever imagine or see that going that way. Not in any negative purpose, but it's like, 'Wow.' "

Behind the Scenes: Jionee ilivyokuwa wakati wa utengenezwaji wa Video mpya ya Stella Mwangi

2:07 PM
Stella Mwangi (STL)
Hii ni video inayoonyesha matukio mbalimbali wakati wa utengenezwaji wa video ya msanii Stella mwangi kutoka Kenya ya wimbo wake mpya wa Stella x3 ambayo official video yake ilitoka siku chache zilizopita. Video ilifanywa katika mitaa ya jiji la Nairobi.
Itazame Behind the Scenes hapa
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates