Kwenye
Power Jams ya east africa radio leo Dogo Hamidu ametangaza kuuza gari
yake ya Pili aina ya VITZ Ya mwaka 2002 ambayo ametumia kwa miezi mitano
tu. Hamidu amesema hajafulia kama wengi watakavyo sema ila niuamuzi
aliofanya baada ya kupata gari nyingine .Ilikuwasiliana na muhusika
0658323230.
picture kwa hisani ya sammisago.blogspot |