HII NDIO GARI ANAYOUZA DOGO HAMIDU

12:24 PM
Kwenye Power Jams ya east africa radio leo Dogo Hamidu ametangaza kuuza gari yake ya Pili aina ya VITZ Ya mwaka 2002 ambayo ametumia kwa miezi mitano tu. Hamidu amesema hajafulia kama wengi watakavyo sema ila niuamuzi aliofanya   baada ya kupata gari nyingine .Ilikuwasiliana na muhusika 0658323230.








picture kwa hisani ya sammisago.blogspot

T.I. - Go Get It [Official Video]

11:04 AM

Flo Rida - Wild Ones ft. Sia [Official Video]

11:02 AM

Gym Class Heroes: Ass Back Home ft. Neon Hitch [OFFICIAL VIDEO]

11:01 AM

Chris Brown - Turn Up The Music

10:58 AM

Brandy - Put It Down ft. Chris Brown

10:57 AM

Keyshia Cole ft lil wayne - Enough Of No Love

10:54 AM

RICK ROSS - 911

10:48 AM

JOBFIRE ATOA AHADI KILIMANJARO

12:59 AM
Jobfire akiwa na wanawe Zainath na Naifath,


Msanii jobfire mwenye asili ya kilimanjaro anae fanya kazi zake kisiwani zanzibar Amefurahia mapokezi makub aliyo yapata mkoani kwake toka kwa artst wa na wadau wengine wa burudani. Bro nimepata mapokezi mazuri sana wasanii wezangu mashabiki wote wamenipokea vizuri nimefurahi sana nita fanya lolote ktk music niwakilishe mkoa wangu wa kilimanjaro Ushirikiano ndio nguzo ya mafanikio shiriki ushirikishwe  jitenge utengwe' Alimaliza jobfire
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates