MAALIM SEIF AMTEMBELEA BI KIDUDE

3:08 PM

Bi Fatma bint Baraka maarufu Bi Kidude akisisitiza kwamba yeye ni mzima hasa kwa wale waliojaribu kumzushia kwamba amefariki ila miguu ndiyo inamsumbua kwa sasa. 


Makamu wea Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiomba dua pamoja na msaniii mkongwe wa muziki wa Taarab nchini Bi Fatma bint Baraka alipomtembelea. 
 


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefanya ziara ya kuwatembelea wagonjwa na wazee kwa ajili ya kuwapa pole na kuwafariji katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar.
Miongoni mwa wagonjwa waliotembelea na Maalim Seif ni msanii maarufu hapa Zanzibar, Bi. Fatma binti Baraka maarufu Bi. Kidude ambaye anasumbuliwa na maradhi ya miguu kwa wiki kadhaa sasa.

Bi. Kidude akizungumza na Maalim Seif huko nyumbani kwa mwanawe Kihinani, Wilaya ya Magharibi Unguja, alimueleza kuwa anasumbuliwa na maradhi ya miguu, lakini amekuwa akifanya shughuli zake nyingi za kawaida.
Hata hivyo, Bi. Kidude alisema amesikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya watu kueneza uvumi kwamba amefariki wakati bado ni mzima na anafanya shughuli zake kama kawaida.
Alimueleza Maalim Seif kuwa kitendo cha watu hao licha ya kumsikitisha yeye binafsi, pia kimesababisha usumbufu na hofu kubwa miongoni mwa jamii na baadhi ya watu ambao walilazimika kufunga safari kuja Zanzibar kutoka nchi mbali mbali. “Kuna watu wameeneza taarifa za uongo kwamba nimekufa, wapo watu waliofunga safari kutoka nchi tafauti kuja Zanzibar, lakini walipofika walishangaa kuniona nipo hai”, alisema Msanii huyo maarufu wa muziki wa taarab hapa Zanzibar na Afrika Mashariki.

STORY YA NYOKA ALIEUWAWA MISRI

2:16 PM

Wow, this is a really big snake, can you imagine you been face to face with this giant snake?
This “Amazing Giant Snake” was found in the Red Sea, the snake was estimated to have killed at least 320 tourists and 125 Egyptian diver.
The snake has been killed by a professional team of elite Egyptian scientists and qualified divers in Egypt.
Names of scientists who participated in the process of catching the huge snake were: D. Karim Mohammed, d. Mohammed Sharif, d. Mr. Sea, d. Mahmoud students, d. Mazen Al-Rashidi.
And the names of divers who participated in the process of catching the huge snake were: Ahmed leader, Abdullah Karim, fisherman Knight, Wael Mohammed, Mohammed Haridi, spears Alvajuma, Mahmoud Shafik, a full-Sharif.
The Snake body has been transferred to the Egypt morgue at Sharm El Sheikh for international animal.

Lady JayDee ampiga vijembe Aneth Kushaba wa SkyLight Band

12:53 PM


Katika kile kinachoonekana kuwa Lady Jaydee ameanza kuogopa moto wa bendi mpya ya SkyLight inayoongozwa na Aneth Kushaba, kiongozi huyo wa bendi ya Machozi ameitupia madongo bendi hiyo.

“Its not about making noise na mabango. Debe likiwa tupu ni tupu tu. Its all about what u can do,” ametweet Jaydee mchana wa Jumamosi.

Tweet hiyo iko wazi kwakuwa anazungumzia mabango yanayoonekana kwenye mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam yakiwa yamebebwa na akinadada waliolipwa kufanya kazi hiyo.

Hivi karibuni aliyekuwa muimbaji wa bendi ya Machozi, Sam Machozi alihamia kwenye bendi hiyo inayokuja juu nchini ambayo Eid mosi na Pili itapiga show Girrafe Ocean View  Hotel.

Je hii ni ishara kuwa Jaydee anauhofia ujio wa SkyLight band?

Picha ya boksa ya Afande Sele yafananishwa na Bebe Cool, Bebe awaka!

12:45 PM

Hii story inachekesha sana. Kuna madj nchini Uganda wameichukua ile picha maarufu ya Afande Sele aliyoteremsha suruali na kubaki na boxer kwenye stage na kudai kuwa huyo ni Bebe Cool.

Baada ya kuona hivyo Bebe Cool amekasirika kiasi cha leo kuandika kwenye page yake ya Facebook na kufafanua kwa mashabiki wake.

"hahahaha, I pity two silly fools, one works in Club Rouge as a cleaner by the names Onyango Gareth the other is a wanabe DJ mbu DJ Jojo Mimz as short as a shoe. They post a fake pic of some up-coming tz artist called Afande Saly performing at a Tigo promo in TZ to counter attack the A and B story that I posted. Only they forgot that in UG thez no tigo and Bebe is a lot mo hairy and has mob side bans. sori ma fans aint drug addicts like A and B fans. ma fans can see"

Tumeongea  na Afande Sele kuhusiana na taarifa hiyo na kudai kuwa haifahamu na kusema kuwa anamuona Bebe Cool kama underground ndio maana hajawahi kupata show Tanzania.

Afande amesema msanii anayemkubali nchini Uganda ni Chameleone na Bebe Cool anasema ni mshamba tu.


The making of Ommy Dimmploz . Produced and directed by Adam Juma Next level Productions 2012

12:33 PM

HAWA NDIO UNAOLIUNDA LILE JINA LA UNKNOWN ARTIST

12:29 PM
Tukianzia kushoto hapa mbele ni Deddy, Gosby na Godzilla, aliyekaa kule nyuma ni Producer Pancho Latino Mafia kutoka B'Hits Rec

DULLY SYKES - MTOTO WA KARIAKOO (Officiall video)

12:26 PM

DAR LIVE INAWALETEA NI IDD SPESHO

12:17 PM

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates